Kalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu

Mambo ya Walawi 11:7-8

Nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. 8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.

Hiyo ni Biblia. Mwenye kujua Quran atuwekee mistari hapa. Daktari naye aje atuambie kuhusu nyama ya Nguruwe, kisha wewe na akili zako utaamua.... halazimishwi mtu ni kupeana elimu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…