@Britanica kuja huku utoe ufafanuzi waki. sio kila siku Etjiopian airlin.
hahaaaa!
bilashaka muongozaji alipoteza mawimbi ya mawasiliano baada ya kugida gahawa, ikabidi rubani ajiongoze kwa kutua kwa dharura baada ya kuona ungo wa azam akiifananisha na jumbo jet ya fly emirates!!!