Mgonjwa kaingia kwa doctor, doctor mi naumwa lakini nikikueleza utacheka, doctor akamjibu siipo hapa kucheka wagonjwa, kweli doctor hutacheka!!
doctor akamjibu kama huumwi pisha wengine, jamaa akavua suruali yake ana kijiboo kama chunusi, doctor wacha aanguwe kicheko, jamaa akamwambia si unaona doctor unanicheka, doctor ikabidi anyamaze akamwambia enh tatizo nini jamaa akajibu kinauma kimevimba duu doctor ndo kaanguka kwa kicheko.
WEEK END NJEMA:mimba:
doctor akamjibu kama huumwi pisha wengine, jamaa akavua suruali yake ana kijiboo kama chunusi, doctor wacha aanguwe kicheko, jamaa akamwambia si unaona doctor unanicheka, doctor ikabidi anyamaze akamwambia enh tatizo nini jamaa akajibu kinauma kimevimba duu doctor ndo kaanguka kwa kicheko.
WEEK END NJEMA:mimba: