Thadei ndunguru
New Member
- Jun 2, 2012
- 2
- 0
Jambo gani ukifanyiwa na mpenzi wako linakufurahisha sana au linakukera sana?changia mawazo
Kutomaswatomaswa, kutokea ndani ya 18!
Kurudi panapopigiwa penati !
sasa linakufuraisha au kero?
Kutomaswatomaswa, kutokea ndani ya 18!
Kurudi panapopigiwa penati !
Jifunze kuandika post na kuelezea nini unataka. Ulichokifanya hapa ni chumvi humohumo na sukari. Kwa ufupi usiwe kama bata uwe kama njiwaJambo gani ukifanyiwa na mpenzi wako linakufurahisha sana au linakukera sana?changia mawazo
kumbe wewe ni mdada....
kumbe wewe ni mdada....
:majani7: ndio moyo wangu umekudondokeaga....
Mie mbona nshakudondokea kitambo!
Hata kabla akina M.a.ige hawajaiba Twiga mi nilikua nshakuzimia!
Sasa dear nimetonywa unatembeaga na card mbili za ATM, hebu nambie uko mteja wa Bank ipi na ipi ?