Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Habari za muda huu wanachama wa Jf na viongozi kwa ujumla,
Sipotezagi muda zaidi wacha niende moja ka moja kwenye mada ,
Usiku wa juzi ijumaa kuamkia jumamosi nilikuwa root night kwenye bodaboda,
Ndipo nikakutana na kali ya kufungia mwaka ,
Kuna limdada flanh bone linafanya kazi kwenye hotel ya la village lilitongozwa na jamaa fulani mida ya mapemaa likakubaliana nae bei ya kung'amua papuch ni elf kumi na tano ,
Basi bhana ile mida ya saa 8 usiku watu wanatawanyika jamaa akamwambia yule mdada kuwa tuhairishe kufanya mapenzi,
Mziki ukaanzia hapo bi mdada haelewi kitu anadai pesa yake 15000 mpaka jamaa akaitoa na kupigwa akapigwa na hilo pande la mdada .
NB, jAMAA ALIKUWA AMELEWA.
Sipotezagi muda zaidi wacha niende moja ka moja kwenye mada ,
Usiku wa juzi ijumaa kuamkia jumamosi nilikuwa root night kwenye bodaboda,
Ndipo nikakutana na kali ya kufungia mwaka ,
Kuna limdada flanh bone linafanya kazi kwenye hotel ya la village lilitongozwa na jamaa fulani mida ya mapemaa likakubaliana nae bei ya kung'amua papuch ni elf kumi na tano ,
Basi bhana ile mida ya saa 8 usiku watu wanatawanyika jamaa akamwambia yule mdada kuwa tuhairishe kufanya mapenzi,
Mziki ukaanzia hapo bi mdada haelewi kitu anadai pesa yake 15000 mpaka jamaa akaitoa na kupigwa akapigwa na hilo pande la mdada .
NB, jAMAA ALIKUWA AMELEWA.