Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,992 69,391 Jun 11, 2017 #3 Mavumba a.k.a vijisenti PESA YA MADAFU
pangalashaba JF-Expert Member Jan 10, 2011 1,276 1,519 Jun 11, 2017 #4 Hapo sidhani hata zimefika $60,000. Madafu tu hayo!!!!!!!!
robert sendabishaka JF-Expert Member Dec 11, 2015 2,973 3,052 Jun 11, 2017 #5 kadirio 100,000,000-milioni miamoja. pesa ya Tanzania ni zaidi ya mzigo, kuna buti za baadhi ya magari hili zigo halienei!!!
kadirio 100,000,000-milioni miamoja. pesa ya Tanzania ni zaidi ya mzigo, kuna buti za baadhi ya magari hili zigo halienei!!!
jozzeva JF-Expert Member Oct 27, 2012 2,193 1,823 Jun 11, 2017 #6 Zikiwa mpya zina kiarufu flani kizuuri,sema zikichakaa kama mtu kajamba.
mzado JF-Expert Member Jan 12, 2014 1,013 1,483 Jun 11, 2017 #7 K NI K said: Click to expand... Wanaita sabuni ya roho
Ranks JF-Expert Member Oct 21, 2012 2,583 1,097 Jun 12, 2017 #8 Katika maisha ya kawaida tu wengi wetu tushatumia kama hizo na hata zaidi.,'labda utoe hayo madafu ya Magu uweke zile za malkia au za Trump kwa ujazo huo'.
Katika maisha ya kawaida tu wengi wetu tushatumia kama hizo na hata zaidi.,'labda utoe hayo madafu ya Magu uweke zile za malkia au za Trump kwa ujazo huo'.
Dragoon JF-Expert Member Nov 24, 2013 7,012 8,126 Jun 12, 2017 #9 Hizo ni Tsh 100,000,000. Nimeshamaliza kuzihesabu hapo
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,638 697,929 Jun 12, 2017 #11 K NI K said: Click to expand... Hazinunui hata V8