We ni me au ke?
Nunua sabuni inaitwa Kojic kwaajili ya kuondoa madoaNisaidieni nitumie nn chunusi ziishe na madoa doa usoni nna miaka 20
Nisaidieni nitumie nn chunusi ziishe na madoa doa usoni nna miaka 20
Hahahaha, nmewaza hili swali nmeishia kucheka... Ila wapoKuna mwanaume ana shida na chunusi?
Hahahaha, nmewaza hili swali mmeishia kucheka... Ila wapo
Tumia snapchat inamaliza chunusiNisaidieni nitumie nn chunusi ziishe na madoa doa usoni nna miaka 20