Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015

Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015

Joined
Oct 25, 2013
Posts
63
Reaction score
262
Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Kalenga kutabiri mshindi wa uchaguzi mkuu 2015, watafiti wa maswala ya kisiasa wana sema, jimbo la Kalenga limebeba sura halisi ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu kulingana na historia ya mabadiliko ya nchi yetu.

Endapo CCM itashinda jimbo hilo, basi itakuwa na nafasi ya kuibuka mshindi uchaguzi mkuu 2015, vinginevyo CHADEMA itakuwa inaingi Ikulu.
Hali ilivyo sasa ni kwamba, kundi la watu mashuhuri kama maChief na wazee wameonekana kuiunga mkono CDM jambo ambalo sio la kawaida na hivyo limeleta hofu kubwa kwa CCM na kuwafanya hata wao kutokukubaliana jinsi ya kukabiliana na vuguvugu la mabadiliko linloonekana kuwa tishio kubwa...

HAKIKA TANZANIA IMEAMKA...
 
Kaeni chonjo na ccm,hawa wana mbinu safi na chafu.usishangae wanavalisha watu magwanda ya cdm na bendera na kwenda kumteka mwanafamilia wa chief mkwawa.kumbuka walivyochoma banda la jiko igunga.
 
Hata hivyo kwa wanaCCM wa jimbo la Kalenga kwa kukishauri chama kisimruhusu Nape Knawie(AKA) domo kaya ,vuvuzela mropokaji) ashiriki katika kampeni hizo kunaonyesha jinsi CCM ilivyojizatiti kurudisha jimbo hilo ndani ya himaya yake.
 
Jimbo la kalenga ni moja ya majimbo machache Tanzania ambayo wabunge huwa hawakai za zaidi ya kipindi kimoja!so ni jimbo gumu ndani ya ccm pia ni ngimu mbele ya wapiga kura! ni nfasi ya pekee kwa cdm kuonesha uwezo wao,ili waandike historia mpya ndani ya jimbo!
 
CCm wameshaufa ni wanasubiri tu ratiba ya mazishi.Utagundua kuwa chaguzi zote
za hivi karibuni,CCM hawajawahi zindua kampeni kabla ya chadema.Huwa wanasubiri
wapime upepo kwa chadema ili wajue ni malori mangapi yatatosha kubeba watu wa
kujaza mikutano yao.
 
Wanakalenga mnayo sauti juu ya hili, kusema tunakubali hali ya nchi ilivyo sasa au tunahitaji mabadiliko.
 
Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Kalenga kutabiri mshindi wa uchaguzi mkuu 2015, watafiti wa maswala ya kisiasa wana sema, jimbo la Kalenga limebeba sura halisi ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu kulingana na historia ya mabadiliko ya nchi yetu.

Endapo CCM itashinda jimbo hilo, basi itakuwa na nafasi ya kuibuka mshindi uchaguzi mkuu 2015, vinginevyo CHADEMA itakuwa inaingi Ikulu.
Hali ilivyo sasa ni kwamba, kundi la watu mashuhuri kama maChief na wazee wameonekana kuiunga mkono CDM jambo ambalo sio la kawaida na hivyo limeleta hofu kubwa kwa CCM na kuwafanya hata wao kutokukubaliana jinsi ya kukabiliana na vuguvugu la mabadiliko linloonekana kuwa tishio kubwa...

HAKIKA TANZANIA IMEAMKA...

huwaga mnasema hv hv mkipgwa hamrudi mnapotea kimya kimya!,uo utafit nan kafanya mbona hujamtaja?,au wewe ndo walewale wanaoendeshwa na hisia!
 
Huenda watakuwa kupiga ramli kwa muganga ili wapate mtu wa kumumwagia tindikali ili wapate msukule wa kuzunguka nao kwenye kampeni.
 
Nami ninenynua fuso hivyo ccm mkitaka kubeba watu ili wajaze mikutano yenu msininyime tenda
 
CCm wameshaufa ni wanasubiri tu ratiba ya mazishi.Utagundua kuwa chaguzi zote
za hivi karibuni,CCM hawajawahi zindua kampeni kabla ya chadema.Huwa wanasubiri
wapime upepo kwa chadema ili wajue ni malori mangapi yatatosha kubeba watu wa
kujaza mikutano yao.

Na mimi nitakuwepo kwenye mazishi ya CCM kuwafariji wafiwa.
 
Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Kalenga kutabiri mshindi wa uchaguzi mkuu 2015, watafiti wa maswala ya kisiasa wana sema, jimbo la Kalenga limebeba sura halisi ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu kulingana na historia ya mabadiliko ya nchi yetu.

Endapo CCM itashinda jimbo hilo, basi itakuwa na nafasi ya kuibuka mshindi uchaguzi mkuu 2015, vinginevyo CHADEMA itakuwa inaingi Ikulu.
Hali ilivyo sasa ni kwamba, kundi la watu mashuhuri kama maChief na wazee wameonekana kuiunga mkono CDM jambo ambalo sio la kawaida na hivyo limeleta hofu kubwa kwa CCM na kuwafanya hata wao kutokukubaliana jinsi ya kukabiliana na vuguvugu la mabadiliko linloonekana kuwa tishio kubwa...

HAKIKA TANZANIA IMEAMKA...

Chopa 3, kata 3.
 
huwaga mnasema hv hv mkipgwa hamrudi mnapotea kimya kimya!,uo utafit nan kafanya mbona hujamtaja?,au wewe ndo walewale wanaoendeshwa na hisia!

Wanatafuta namna ya kuja baadae kulalamika kwamba wameibiwa kura. Watadai hata Jf iliwatabiria ushindi, hivyo wapewe! Na tumeshasema sasa unyonge basi!
 
Msibeze na kudharau strategy za maccm. Wamehairisha baada ya kuona vuguvugu la jana hawaliwezi. Hizi mbinu za kivita, kurudi nyuma si kushindwa. Wanasoma mchezo.

Niwaombe cdm wahakikishe kila wanayeongea naye/ hata kama ni umati wawe wapiga kura. Si vibaya kuwaandaa wote hata uchaguzi ujao lakini cha msingi hapa ni numbers of voters. Hii miccm inaweza isipige hata campaign..badala yake ikaesabu wapiga kura kalenga kwa kushirikiana na tume ikaanza kuwatembelea hao. Miccm haitaki kubahatisha. Sikudhani maccm yanawapiga kura sombetini!

CDM be strategic than ever! Tunalihitaji hilo jimbo. Kitendo cha kumweka mama kama mgombea ni ushindi tayari dhidi ya huyo mkamerooni ( ninamaana ya raia mwingereza).
 
Vijana CDM msisinzie. Hakikisha mnakaba kona zote ( usiku na mchana): Kona zenyewe hizi, tembelea wapiga kura, waimize kupiga kura hata wakicheleweshwa vituoni kiasi gani, linda kura ( msiruhusu hata ziwe defender za polisi kuingia vituoni, hata chupa za chai...), wambie mawakala kutotusaliti...atakayethubutu....jumlisha matokeo kila kituo...tangaza yatakapokuwa tayari...mkisubiri mkurugenzi atangaze imekura kwetu..(wataleta ffu watangaze wanavyotaka wao). Mkurugenzi akitangaza isivyo......mwadabishe
 
msibeze na kudharau strategy za maccm. Wamehairisha baada ya kuona vuguvugu la jana hawaliwezi. Hizi mbinu za kivita, kurudi nyuma si kushindwa. Wanasoma mchezo.

Niwaombe cdm wahakikishe kila wanayeongea naye/ hata kama ni umati wawe wapiga kura. Si vibaya kuwaandaa wote hata uchaguzi ujao lakini cha msingi hapa ni numbers of voters. Hii miccm inaweza isipige hata campaign..badala yake ikaesabu wapiga kura kalenga kwa kushirikiana na tume ikaanza kuwatembelea hao. Miccm haitaki kubahatisha. Sikudhani maccm yanawapiga kura sombetini!

Cdm be strategic than ever! Tunalihitaji hilo jimbo. Kitendo cha kumweka mama kama mgombea ni ushindi tayari dhidi ya huyo mkamerooni ( ninamaana ya raia mwingereza).

ni kweli ccm ccm huwa hawatabiriki ,nakumbuka mwaka 2010 ktk uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 mgombea nyimbo wa chadema alionekana kuwa na nguvu mwanzoni lakini baadaye upepo ulibadilika na ccm kuibuka kidedea.
 
Ha haaa haaa haaa!!! chadema ikishinda Kalenga mi Nahama hii nchi,Watanzania walishajua kwamba nyinyi ni wahuni tu wala hamna sera wala hoja zaid ya fujo! Mshaurini mwenyekiti wenu akasome kwanza!!
 
Back
Top Bottom