Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015

Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015

Msibeze na kudharau strategy za maccm. Wamehairisha baada ya kuona vuguvugu la jana hawaliwezi. Hizi mbinu za kivita, kurudi nyuma si kushindwa. Wanasoma mchezo.

Niwaombe cdm wahakikishe kila wanayeongea naye/ hata kama ni umati wawe wapiga kura. Si vibaya kuwaandaa wote hata uchaguzi ujao lakini cha msingi hapa ni numbers of voters. Hii miccm inaweza isipige hata campaign..badala yake ikaesabu wapiga kura kalenga kwa kushirikiana na tume ikaanza kuwatembelea hao. Miccm haitaki kubahatisha. Sikudhani maccm yanawapiga kura sombetini!

CDM be strategic than ever! Tunalihitaji hilo jimbo. Kitendo cha kumweka mama kama mgombea ni ushindi tayari dhidi ya huyo mkamerooni ( ninamaana ya raia mwingereza).

Wamerudi nyuma tutawafanyia flanking attack, Mungu yuko pamoja na jeshi lake
 
Watanzania wa leo si wa miaka ya 80! Hawadanganyiki kwa pilau wala kanga.....si unacheki mwenyewe!......chopa 3 kata 3!
 
CCm wameshaufa ni wanasubiri tu ratiba ya mazishi.Utagundua kuwa chaguzi zote
za hivi karibuni,CCM hawajawahi zindua kampeni kabla ya chadema.Huwa wanasubiri
wapime upepo kwa chadema ili wajue ni malori mangapi yatatosha kubeba watu wa
kujaza mikutano yao.

tete teeh te! te! kwi ikw kwii kwii! mbaaaavu!mbaaaavu! mbaaav zangu jamani!
 
Tunaomba daftari kudumu la wapiga kura liboreshwe, ndo utajua nguvu ya magamba
 
Watanzania wa leo si wa miaka ya 80! Hawadanganyiki kwa pilau wala kanga.....si unacheki mwenyewe!......chopa 3 kata 3!
kweli kabisa fundisho zuri inawezesha watu kujua kilo ngapi za sukari ,chumvi ,kanga na t-shirt ngapi zinatumika na kwa jinsi hiyo hawawezi kuachia wakala bila kunawa lazima wakabwe
 
CCM wameshindwa KUZINDUA kampeni leo, eti wanasubiria mpaka Chris Lukosi afike kwani ndio mgeni rasmi wao........
Huyu huyu anaesemekana kula pesa ya mjane au mwingine? Hahaha wanachekesha sana.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mliosema Waziri wa fedha Mgimwa mzigo msikanyage Kalenga,tuacheni wenye kuchagua mzigo tulete paka wetu Cdm afukuze panya,hatuchagui rangi ya paka.Kamanda Grace kaza buti Jimbo ni lako.Peeeeples! ubwabwa CCM kura CDM.
 
Aliekuwa Waziri wa fedha Dr William Mgimwa alikuwa mmoja wa mawaziri mizigo according to Nape na Kinana
 
Uchaguzi mdogo wa Ubunge Jimbo la Kalenga kutabiri mshindi wa uchaguzi mkuu 2015, watafiti wa maswala ya kisiasa wana sema, jimbo la Kalenga limebeba sura halisi ya nchi yetu kuelekea uchaguzi mkuu kulingana na historia ya mabadiliko ya nchi yetu.

Endapo CCM itashinda jimbo hilo, basi itakuwa na nafasi ya kuibuka mshindi uchaguzi mkuu 2015, vinginevyo CHADEMA itakuwa inaingi Ikulu.
Hali ilivyo sasa ni kwamba, kundi la watu mashuhuri kama maChief na wazee wameonekana kuiunga mkono CDM jambo ambalo sio la kawaida na hivyo limeleta hofu kubwa kwa CCM na kuwafanya hata wao kutokukubaliana jinsi ya kukabiliana na vuguvugu la mabadiliko linloonekana kuwa tishio kubwa...

HAKIKA TANZANIA IMEAMKA...
gongo utaacha lini kunywa?
 
That's so true...in vita to ndio chadema wanaijua..,wapunguze .
 
Back
Top Bottom