Nchaby
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 797
- 259
Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.
Hakipo chama cha kushindana na CCM.
Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.
Hata likisimamishwa jiwe litapigiwa kura. Ccm inapendwa mnoKama wataichagua ccm HATA wakimsimamisha nani hapo ni lazima tutilia mashaka uelewa wao maana ni kwamba hata ccm waweke jambazi litapita tu! hilo siyo jambo la kujivunia. ukichunguza sana KUTO KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA NI TATIZO,VILIBA VYA KUPEMBULIA MAMBO ILI WAIJUE KWELI HAWANA.Wenzetu hatua hiyo walisha pita zamaaani kweli na ndio maana wako pale.
sio kupendwa mkuu, mtaji wa ccm ni ujinga na umasikini. Kila penye ujinga na umasikini ccm imetamalaki!Hata likisimamishwa jiwe litapigiwa kura. Ccm inapendwa mno
Unawapa hongera kwa kuchagua umasikini?Ni kauli ya Vijana,wazee na kina mama maeneo mbalimbali ya kalenga. Wanasema ccm haina mpinzani, haina wa kuiyumbisha, watawasikiliza,watawatafakari,watacheka nao lakini hawatawapa kura zao. Wataichagua ccm bila kujali imemsimamisha nani.
my take. Hongera wana kalenga
Ccm mtaji wao mkubwa
ni ujinga na umasikini wa watanzania! Kalenga ndo mtaji wa maccm kwa
sababu wananchi wengi hawana elimu ya uraia, wanaamini mgombea anayetoa
rushwa ndo mgombea bora! Barabara nyingi vijijini hazipitiki, lakini ccm
inawarubuni wananchi bila huruma hata kidogo!
Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.
Haya hiyo hapo!! Fafanua!Picha ?
Chadema kwa sasa ni sawa na kisima kilichokuwa na maji na baadaye kukauka kabisa.
kuuliza si ujinga , hicho ni chakula gani mkuu ?
kuuliza si ujinga , hicho ni chakula gani mkuu ?
Hakipo chama cha kushindana na CCM.
Kwani kunachama cha kushindana na ccm hapa tanzania.
Hata likisimamishwa jiwe litapigiwa kura. Ccm inapendwa mno