Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
kwanza kakobe ni darasa la ngapi mpaka akosoe waraka ulioandaliwa na wataalam waliobobea?
Nakumbuka wakati anauza kanda za nyimbo pale temeke, sijui kama alienda shule zaidi.
alipokosa dili la kuuza kanda za ASSMBLESS OF GOD KARIAKOO ndio akaamua kujitoa na kuanzisha DHEHEBU lake linalokataliwa na Viongozi wengine wa dini
ahhahahhahahhaha!! duh!! makubwa1Tangu siku nyingi nilifahamu kuwa huyu jamaa ni KIBAKA.
Nilishamuona kwenye TV akiombea akina mama eti maziwa yatoke. Na mshe*** huyu bila aibu akawa akiwashika akina mama matiti na kuyakamua na kuonyesha eti maziwa yanatoke. Angelikuwa mke wangu, ningelimshataki kwa kusoa hilo. Utashikaje HOTELI ya watoto wangu?
Ni kweli kabisaa, kakobe kaongea point. Namuunga mkono. Kuna watu waoga sana kukemea jambo hili waziwazi.
alipokosa dili la kuuza kanda za ASSMBLESS OF GOD KARIAKOO ndio akaamua kujitoa na kuanzisha DHEHEBU lake linalokataliwa na Viongozi wengine wa dini
Nyaraka za dini haziwezi kuwagawa wa Tanzania ila Ufisadi Utawagawanya.
Why?
Katika mijadala hii Wakristo hawajakaa kama kundi moja kupinga Kundi lingine lisilo la Wakristo... na wala haieelekei kuwa hivyo.
The same Kwa waislam na wasio na dini.
Nyaraka hazijajadiliwa kwa mtindo wa Kushabikia dini na wala sioni ikiwa hivyo.
Wajadili Nyaraka Wanaijadilili kama Wa Tanzania....
Na Hakuna cha kuogopa hapa.
nimekupata mkuu. waraka unaelimisha tu jinsi ya kupata viongozi bora. hauwezi kuwagawa watu, hizo ni mbinu tu za kuficha ukweli na kuendelea kuwabeba mafisadi
huenda KAKOBE kanunuliwa, anapenda sana hela yule
.Sidhani kama Pengo ana sababu ya kujibizana na Kakobe aliyejipachika uaskofu. Kwanza hana upeo wowote wa kuelewa mambo. Ni kichaa tu anayeweza kusimama na kuupinga ule waraka murua wa Kanisa Katoliki. Vichaa wengine walishajitokeza mwanzo, na sasa wanazidi kujitokeza.
Kuna nyeti kuwa huyu bwana Kakobe ni msilamu, na jina lake ni Zahoro. Hivyo sistushwi saaana na sarakasi zake. Tutegemee kuona mengi kabla ya 2010.
Kakobe ni sawa na jambazi tu, hata wanaabudu ktk kanisa lake nina wasiwasi nao. Dhahabu alizokuwa anakusanya amepeleka wapi? kwanza anatakiwa ashitakiwe.
Hata siku moja mhuni kama kakobe hataweza kujilinganisha na Pengo mpaka atakufa, wala hiyo FGBF haitaweza kuifikia RC mapa mwisho wa dunia. Wataishia kupora sadaka za waathirika na wagonjwa wengine tu, na hii ni dhambi.
Huwezi kuwa na akili timamu ukaenda kuabudu kwa kakobe, labda uwe mgonjwa na umekata tamaa ya kuishi.
Pili, kakobe anajulikana, wala watu wenye akili zao hawawezi kupoteza muda kumsikiliza. Ndo maana anamsifia Kingunge. Ni opportunist tu hana lolote, anatafuta attention
alipokosa dili la kuuza kanda za ASSMBLESS OF GOD KARIAKOO ndio akaamua kujitoa na kuanzisha DHEHEBU lake linalokataliwa na Viongozi wengine wa dini
Habari za shughuli wana JF. Nimesoma habari ya huyu bwana Askofu kuhusu waraka wa wakatoliki nimebaki kujiuliza kama huyu Askofu ameenda shule au laa. Fikiri mtu anayejiita askofu anapoteza muda wake kuwakalisha waandishi wa habari kujadili jambo ambalo kurasa zake zilishafungwa. Je anataka kujiosha kwa JK? Mtakumbuka wakati wa Mkapa alimuunga mkono sana mzee wa Kiraracha na kuikandia sana serikali ya Mkapa. Leo hii namshanga kukandia waraka ambao unawaelimisha wananchi wote na siyo wakristu tu kiongozi anayefaa kuchaguliwa. Najiuliza kama ameenda shule kwa sababu mtu aliyeenda shule akiusoma waraka husika hawezi kuukandia hata kidogo. Jambo la kushangaza amekaa muda mrefu sana tangu waraka huu utoke bila kusema chochote ndo anakumbuka shuka wakati kumekucha na mbu wameshamtafuna kisigino. Nawaomba waumini wake wale wasomi wamshauri asiwe anazungumza na waandishi wa habari bila kushauriana na wasomi kwa maana naamini atakujaishia pabaya. Anaweza kujilinganisha na Pengo mwenye PhD na anayefikiri kabla ya kusema ama kutenda. Aende shule kwanza huyu ndo ajiite askofu.Anasema anachukua nafasi ya waandishi wa habari kumkemea Pengo kwa kuthubutu kutamka bila woga mbele ya Rais kuwa kuwa wanasiasa hawawezi kufndisha wachungaji kuhusu nyaraka zao. Je hii si kweli? Kama ni kweli kwa nini ajifarague mbele za watu? Naamini ni ujinga na umemtawala na kutojua wajibu wake kama mchungaji mbele ya wanasiasa. Aache kuficha madhambi yake kwa kujipendekeza kwa Rais. Hebu tujadili jambo hili kwa wale wenye nafasi. Karibuni.
askofu kakaobe fisadi mkubwa anawakwangua waaamini wake sadaka kama nini hana lolote huyu mnafiki na kigeu geu si amewahi kumpigia kampeni mrema huyu sasa yeye hakuchanganya siasa na dini kipindi hicho? mwehu tu