Habari zenu wana forum
najua hapa kuna wataalamu wa lugha.
naomba mnifundishe.. ikiwa kaka yangu akioa mke . mimi nitasema KAKA YANGU ANA MKE
sasa KAKA ZANGU WAKIOA NITASEMA KAKA ZANGU........
Hapo ndio naomba ushauri nitatumia neno gani ili ijulikane kaka zangu wanao wake zao
najua hapa kuna wataalamu wa lugha.
naomba mnifundishe.. ikiwa kaka yangu akioa mke . mimi nitasema KAKA YANGU ANA MKE
sasa KAKA ZANGU WAKIOA NITASEMA KAKA ZANGU........
Hapo ndio naomba ushauri nitatumia neno gani ili ijulikane kaka zangu wanao wake zao