kakakuona anakunywa bia 🤣Kakakuona wa siku hizi michosho.
Hata wazungu wanaimani hizo nakumbuka Kuna world cup sikumbuki mwaka uholanzi walikuwa na octopus!!! Wa kutabiri hivyo usitutisheWaafrika bado tunasafari ndefu sana aiseee.
Wamemzunguka kama wameona mwanga 🙄Kakakuona wawatu kaogopa mlikua wengi Sana mmemzunguka kaona aibu
Hiyo rangi ya kanga ndo shida,mgemwekea ya kijani kama Ile ya pale mitaa ya jangwani ingekuwa poa sana sanaLeo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!
AiseeLeo asubuhi ya tar 21/06/2023 ameonekana mnyama aina ya kakuona katika kijiji cha Kipala mapakani Kongowe kata ya Mwandege wilaya ya Mkuranga wakamuweka katika ofisi ya kijiji watu wamuwekea vitu mbalimbali lakini kagoma kungusa kitu chochote!