Kaka yupo rumande, shemeji ananitaka kimapenzi

Kaka yupo rumande, shemeji ananitaka kimapenzi

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
812
Habari wanaJF,

Kaka yangu na shemeji wana ndoa kabisa ya kisheria na kiserikali. Huyu my bro yupo mikononi mwa serikali yapata 7 miezi sasa.

Ishu ni shemeji kuvumilia hawezi na kaniweka wazi kanieleza yote ya moyoni kuwa anataka kutembea nami, sasa mimi nifanyeje jamani?

Hebu mpeni ushauri shemeji yangu afanye nini tofauti na kungonoka ili hamu zimuishe. Mimi bado sijampa jibu, naombeni majibu mazuri ili nikimueleza nieleweke.
 
Mkune tu sio mbaya, mbona zamani watu wanalisiana, au unataka akunwe na mtu mwingine kaka yako akitoka uje umwambie? Mkune tu hamna namna, ila mkune kwa umakini sana sana sio ndio ujiachie! Akitoka atakuchinja. Tunakulaga.
Unakulaga??? Hebu fafanua hapo
 
hahaha wewe mwanawane mgegede tuu huyo mwanamke wala usipate tabu....sasa cha msingi wewe wewe kuhakikisha kwamba unamfumua marinda pia.
 
siku hiz watu wanamihemko ya ngono sijui kwann. Sijui vyakula wanavyokula au video za ngono ndio zinasababisha.
Mr. Usije kuthubutu kuweka dudu yako kwa shemeji yako. Kumbuka bro wako yupo kweny matatizo sasa ukifanya hivyo utamuongezea stress, dunia haina siri. Halafu undugu utakufa sasa sijui utakuwa umefanya nn.
Mwambie live tu kwamba haiwezekan na haiwez kutokea.
Hawa wanawake
 
Mkune tu sio mbaya, mbona zamani watu wanalisiana, au unataka akunwe na mtu mwingine kaka yako akitoka uje umwambie? Mkune tu hamna namna, ila mkune kwa umakini sana sana sio ndio ujiachie! Akitoka atakuchinja. Tunakulaga.
nimkune!!akinogewa sasa si itakua balaa
 
Hapo sasa, utata. ukimla shemeji yako, halafu kakako akijua utapata wakati mgumu sana utatamani dunia ipasuke ujifiche. lakini pia ukisikia shemeji anachukuliwa na lijamaa tu wakati bro wako yupo jela utaumia sana.
 
unamuonesha dalili za kimapenzi kwa nini naye asiende huko. kama uko strict hawezi. na ushetani kumgegeda shemeji yako wakati bro wako yuko lupango. akitoka akajua anakuaa!!!! RUN , run man!!
 
Ukiona ameacha kukutega tu, fahamu watu washaanza kumgonga shemeji!
 
Back
Top Bottom