Kaka ukipata muda ukasoma tafakari

Kaka ukipata muda ukasoma tafakari

I like ths! Lakini kwanini umefumba? Hujui kwamba kaka hakusoma kiswahili! Kusoma hapo na kuchanganua itakuwa issue.....
 
I like ths! Lakini kwanini umefumba? Hujui kwamba kaka hakusoma kiswahili! Kusoma hapo na kuchanganua itakuwa issue.. au umeogopa mkono wa DOLA?....kwii!kwii!kwii!
 
Thread ndefu namna hii maana nimeisoma mpaka macho yanatoa machozi lakini sijaelewa chochote!

Wewe kwel mvivu wa kufikiri yaani hujaelewa chochote balada hata ya kusubiri watu wengine wacomment kwanza ww kuherehere chako unakuwa wa kwanza afu unaongea utumbo, pole sana dogo
 
Nzuri hii, mleta mada nakupa big up, tuhitaji Tanzania yenye watu km wewe ( critical thinkers) na sio washabiki tu wasiojua chochote, uliyoyaandika hapo ni ukweli mtupu, jamaa ka-perform poor kiukweli, hali ni mbaya sana, nakumbuka wimbo wa Naakaya mr politician
 
safi sana!!!nimekupa kalike kamoja but kama inawezekana mods plz muongezeeni mleta mada likes nyingine kama tano hivi!!!!!machapisho kama haya yangetakiwa yawe yanapatikana kwenye magazeti/majarida na vyombo vya habari vingi kadri iwezekanavyo kumuamsha ------ kutoka usingizini au kuiamsha jamii ya watz kujikwamua kutoka katika utawala mbovu wa 'kaka' ili kuondokana na udhaifu wa kiuongozi uliopo.....yaani hapa naona kama naharibu tu yaliyozungumzwa na mleta mada but uzi uko tight mbaya!!!!!!umeinstall kitu katika maisha yangu na zaidi kumuhusu 'kaka'.
 
Safi saana! Uandishi mzuri, mpangilio wamawazo umetulia na ujumbe murua kabisa. Kazi kwako kaka!!!
 
Nzurii lakini mafumboo meeengii ngumu kumeza jaman mkuu
 
Back
Top Bottom