Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Kaka Pinda kama unajiona ni msafi ondoka huyu jamaa (JK) si wakufanya naye kazi. Utaingia kwenye mgogoro mkubwa sana na wananchi wako nakuomba sana mwachie nchi na wenzake. Ujue ukitaka kumlizishe unamlizisha yeye peke yake jamii yote unaiacha.
Ni hilo tu, wenzio wanajijua na wanagawana rasilimali zetu shauri yako. jiepushe na mashitaka yatakayofuata hata baada ya miaka kumi
Ni hilo tu, wenzio wanajijua na wanagawana rasilimali zetu shauri yako. jiepushe na mashitaka yatakayofuata hata baada ya miaka kumi