Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,051
he's got an eye for good football. He's Brazilian afterall
This team can defeat any team
Kaka nilikuwa nakuheshimu, sikuheshimu tena.
Put him in your best xiyuko wapi messi
kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaah...
forza Kaka
....Katika hiko kikosi chake amenitajia mtu ambae nilikuwa nimemsahau ila nimemkumbuka.
....Nilikuwa namkubali sana enzi zake, sijui imekuwa akapotea.
.....Kila mtu akiwa golini miaka ya 2000 mpaka 2007 kama sikosei alikuwa anajifananisha naye.
......Ni DIDA, The One. Huyu jamaa nilikuwa namkubali sana, kwanza akikaa golini lazima akilini mwako utatambua kuwa huyu jamaa ni fundi kwa kukamata mipira.
alikuwa anachezea timu gani?
Kaka nilikuwa nakuheshimu, sikuheshimu tena.
Mbona wako kumi na mbili?