Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa
Nimetoka kusoma nyuzi kadhaa za mjadala wa Sirro vs MO nimeingia ktk huu uzi wako nimejikuta huzuni imeniponyoka nikacheka kama mwehu. Dada nitafute basi.
Nimetoka kusoma nyuzi kadhaa za mjadala wa Sirro vs MO nimeingia ktk huu uzi wako nimejikuta huzuni imeniponyoka nikacheka kama mwehu. Dada nitafute basi.
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi ni mpare ndo kanifanya dada yake kabisa