Kaka Membe, kwa gia hii umechemka!!

Kaka Membe, kwa gia hii umechemka!!

The Hunter

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2010
Posts
1,049
Reaction score
307
Kaka mkubwa pole kwa pilika zako za kutaka kutuongoza hapo 2015 naheshimu sana maamuzi yako kwakuwa yametambuliwa rasmi na katiba ninayoiamini, ila Mkuu, nikukumbushe tu kuwa Uongozi ni dhamana, isiyotaka hila au ujanja ujanja, kama wewe ni mwenye karama basi wananchi wenzako watakuchagua bila kuzingatia wewe ni wa kabila rangi au dini gani!
Ule uvumi uliosemwa hapa jukwaani kwamba umeamua kubadili dini toka ukristo na kuwa mwislamu,
yaani toka kuwa Bernard kuwa Khalfan umenifanya niamini mkuu umedhamiria kuongoza kwa hali yoyote,
naamini si kwamba unamapenzi ya kweli na uislamu, bali umelisoma game na ukajua ili kuzipata kura za watu wa pwani lazima uwe muislamu,
Yafaa nini kujitaabisha Bw Membe kama utumishi wako umetukuka? unafikiri kuwa mwislamu au Mkristo ndo kuchaguliwa? Toka ulipopata akili hukujua uislamu ni mzuri uende huko mpaka dakika hizi za mwisho kukaribia kuteuliwa mgombea wa ccm 2015 ndo unashtuka!?
Pole mkuu, waislamu hawataki wanafki, hivyo hata wakristo hawataki wanafki!!

Ila kaushauri kadogo; labda ubadili na kabila uwe ****** pia.
 
Mkuu sijaipata hiyo ebu elezea imekuaje mpaka bwana mkubwa huyu akabadili dini? Kwani anadhani kuwa mwislamu ndo kupata nafasi ya kuongoza? kapotea labda abadili na jinsia...
 
Acha uzuzi wewe! Lini kabadili dini. Toa ushahidi hapa
Halafu amesema ilikuwa tetesi ya kubadili dini, upi ukweli amebadili au hajabadili? Ila mimi naona uwe mwislamu au mkristo haukusaidii, kitachokusaidia ni utendaji wako wa kazi na siyo longolongo.
 
Kaka mkubwa pole kwa pilika zako za kutaka kutuongoza hapo 2015 naheshimu sana maamuzi yako kwakuwa yametambuliwa rasmi na katiba ninayoiamini, ila Mkuu, nikukumbushe tu kuwa Uongozi ni dhamana, isiyotaka hila au ujanja ujanja, kama wewe ni mwenye karama basi wananchi wenzako watakuchagua bila kuzingatia wewe ni wa kabila rangi au dini gani!
Ule uvumi uliosemwa hapa jukwaani kwamba umeamua kubadili dini toka ukristo na kuwa mwislamu,
yaani toka kuwa Bernard kuwa Khalfan umenifanya niamini mkuu umedhamiria kuongoza kwa hali yoyote,
naamini si kwamba unamapenzi ya kweli na uislamu, bali umelisoma game na ukajua ili kuzipata kura za watu wa pwani lazima uwe muislamu,
Yafaa nini kujitaabisha Bw Membe kama utumishi wako umetukuka? unafikiri kuwa mwislamu au Mkristo ndo kuchaguliwa? Toka ulipopata akili hukujua uislamu ni mzuri uende huko mpaka dakika hizi za mwisho kukaribia kuteuliwa mgombea wa ccm 2015 ndo unashtuka!?
Pole mkuu, waislamu hawataki wanafki, hivyo hata wakristo hawataki wanafki!!

Ila kaushauri kadogo; labda ubadili na kabila uwe ****** pia.[/QUOTE
]
watu wengine bwana, kutwa kuandika andika utumbo tu humu ndani. kwa hiyo akibadilisha dini wewe inakuhusu nini? uamuzi ni wake kufanya atakalo. naona mmecharuka kuandika thread mbalimbali za kipuuzi kuhusu membe. acheni chokochoko zenu na mwacheni baba wa watu apumue. stop your CRAP!
 
Nakumbuka thread kama hii last time ilipoletwa mods waliiondoa! ila leo sijui imekuwaje mpaka sasa ipo!
 
Jinsia?!, ila si iliwahi kurushwa humu janvini kuwa ana rafiki dume na mfadhiri wake mkuu wa huko arabuni?,,labda ndo kamshauri abadili dini ili avae kanzu na mambo yawe rahisi,,,,,,,,,,,,,,
Mkuu sijaipata hiyo ebu elezea imekuaje mpaka bwana mkubwa huyu akabadili dini? Kwani anadhani kuwa mwislamu ndo kupata nafasi ya kuongoza? kapotea labda abadili na jinsia...
 
Huo mfumo kristu atuhuitaji kwani kusifia oic imekua nogwa ? Mwachane bwana udini ahutufikishi popote
 
Huo mfumo kristu atuhuitaji kwani kusifia oic imekua nogwa ? Mwachane bwana udini ahutufikishi popote
 
watu wengine bwana, kutwa kuandika andika utumbo tu humu ndani. kwa hiyo akibadilisha dini wewe inakuhusu nini? uamuzi ni wake kufanya atakalo. naona mmecharuka kuandika thread mbalimbali za kipuuzi kuhusu membe. acheni chokochoko zenu na mwacheni baba wa watu apumue. stop your CRAP![/QUOTE

Bw. Pori unapoamua kuwa kiongozi lazima ukubali na kukosolewa, la uwe kiongozi wa familia yako tuu, Ndugu Samweli Malecela alipobadili dini kwa sababu za kisiasa hata mwalimu alimponda!
Fahamu hakuna anaepinga wala kukosoa maamuzi ya mtu juu ya kujiunga na dini flan, lakini isiwe unajiunga nao kimaslahi, na tutakubaliana hawa wanaofanya siasa kwa kupitia mlango wa udini huwa mizigo.
Membe anajua kwakuwa mpinzani wake wa karibu ni mkristo(Lowasa) yeye awe muislamu ili kupata huruma ya waislamu.
 
Kaka mkubwa pole kwa pilika zako za kutaka kutuongoza hapo 2015 naheshimu sana maamuzi yako kwakuwa yametambuliwa rasmi na katiba ninayoiamini, ila Mkuu, nikukumbushe tu kuwa Uongozi ni dhamana, isiyotaka hila au ujanja ujanja, kama wewe ni mwenye karama basi wananchi wenzako watakuchagua bila kuzingatia wewe ni wa kabila rangi au dini gani!
Ule uvumi uliosemwa hapa jukwaani kwamba umeamua kubadili dini toka ukristo na kuwa mwislamu,
yaani toka kuwa Bernard kuwa Khalfan umenifanya niamini mkuu umedhamiria kuongoza kwa hali yoyote,
naamini si kwamba unamapenzi ya kweli na uislamu, bali umelisoma game na ukajua ili kuzipata kura za watu wa pwani lazima uwe muislamu,
Yafaa nini kujitaabisha Bw Membe kama utumishi wako umetukuka? unafikiri kuwa mwislamu au Mkristo ndo kuchaguliwa? Toka ulipopata akili hukujua uislamu ni mzuri uende huko mpaka dakika hizi za mwisho kukaribia kuteuliwa mgombea wa ccm 2015 ndo unashtuka!?
Pole mkuu, waislamu hawataki wanafki, hivyo hata wakristo hawataki wanafki!!

Ila kaushauri kadogo; labda ubadili na kabila uwe ****** pia.
Mkuu ngoja nikufundishe. Hapo kwenye Red ungeandika M.KWERE. yaani uache space au uweke nukta ndio itasomeka, vinginevyo itaonyesha nyota nyota tu. Siku hz hapa sio kama zamani, mods wamekuwa waoga sana! sijui wametishwa!
 
Back
Top Bottom