Kaka kumtafutia dada mume kuna makosa?

Kaka kumtafutia dada mume kuna makosa?

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Wengi wenu mmezoe dada kuwalengeshea rafiki zao ambao ni wakali tena anakuita kabisa chemba anakuambia "kaka chukua mzigo huo umetulia mimi nakurekebishia kila kitu" na kweli unakwarua mzigo.

Sasa nauliza je kaka akimtafutia dada mume kuna makosa?

Kama ndio kwanini?/hapana kwanini?
 
Ndio
Mara nyingi makaka wanakuwa wakali sana kwa dada zao hvy madhara ya kumtafutia dada yako mwanaume ni anaweza kumkubali kwa tamaa tu au kwa kuogopa kaka yake atamind lkn kwa mapenz ni asilimia chache sana
So uwezekano wa kupendana kwa wapenz hao ni mdogo sana
 
Inategemea na mazoea na mipaka uliyojiwekea naye.

Kwangu hapana nina mipaka maana ni sawa na baba yake.
 
Ni makosa makubwa sana...
Kuhusu dada yako unatakiwa ulitewa ujumbe kwamba amepata mume siyo wewe ndiyo wa kumtafutia...

Akipewa mimba na kukimbiwa mtailea wote...


Cc: mahondaw
 
Kama unadada mkuu niunganishie usihofu na sitanii
hahaha...kama una vigezo hivi unitafute.
_Kazi inayoeleweka na kutambulika
_ at list uwe na elim isiopungua advance level
_Nyumba ya kuishi
_uwe rijali
_usafiri
_uwe na mvuto appearance yako HQ
 
kidogo ina ukakasi
ila mi sioni kama fair kila mmoja amtake amtakaye
asije mwisho wa akaniambie ni wewe ndio ulisababisha.
 
Hivi ulimwengu wa sasa kuna kutafutiana wachumba kumbe, ngoja nikaongee na kaka yangu anitafutie na mimi
 
Umtafutie dada yako mtu wa kumtia?hapana aisee
 
Kwangu haiwezekani labda afanye kwa siri sana nisijue
 
Kizazaa
Hiki Yaani Advanced Mpaka Huko
Ni Mbaya Sana
 
Back
Top Bottom