Kaka kamuoa dada!

Kaka kamuoa dada!

Wadau,

Hii nimekutana nayo Julius Nyerere International Airport TERMINAL ONE,ambapo kuna m-baba mmoja mtu wa makamo hivi ambaye ana kijikampuni cha huduma za usafiri wa anga.

Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba,mkasa ulikuwa hivi,m-baba huyu aliyekuwa ameoa kwa ndoa ya kanisani na kufanikiwa kupata watoto wawili,alimchukua mdogo wake wa kike kutoka Bukoba ili aweze kumsaidia na kumuhudumia wifi yake (mke wa huyo m-baba) ambaye alikuwa amejifungua mtoto wao wa pili.

Lakini baada ya muda m-baba huyo akaanza kucheza mchezo mchafu na mdogo wake (ambaye ni tumbo moja na yeye).

Migogoro ilianza ndani ya ndoa hatimaye mke akapata habari kuwa wifi yake ndio mwizi wake.

Baada ya kuweka mtego na kuwafuma mmama wa watu hakutaka makuu,alifungasha kila kilicho chake na kusepa.

Nimeambiwa kuwa ni miaka sasa ada na kaka huyo wanaishi kama mume na mke,wazazi wao waliamua kuwatenga baada ya kupata habari hizo na mpaka muda huu hawajawahi kupata mtoto.

Niliwashuhudia wanandugu hao wakiwa wanaingia kazini,naambiwa ni kama kumbikumbi,huwa wanafuatana kila sehemu wanayokwenda.

Imenistua sana,hii laana bandugu.
ona ulivyo mmbea ulianzaje kuuliza habari zake!!!!
 
Yani kwa kweli...baba koku kaamua kumpiga dada katerero!..ukabila hadi kwenye maloveeeee
 
Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba.....

Hapo terminal wewe ulikwenda kuchukua umbeya au?
 
Mhh! hawa ndugu zangu wamebiaibisha sana. Katika hali ya kaiwada ni ngumu labda kama kuna nguvu ya ziada imeelekeza wafanye hivyo.
 
Ukome kabisa kama umekosa cha kuomba!:shocked:
woi, yaani ati ndio sikomi nasema hiviiiiiiiii YESU SHUKA DUNIA IISHEE!!!!!!! kama umechukia jibebe meeeeeeeeeeeeen!!!!!!!! habari ndio hiyooooooooo!!!!!!
 
ndio kulinda mali za nyumbani zisiende mbali kumefkia huku!!!
 
Mwee hi dunia jaman turudi kwa Mungu cjui lile dhoruba la nuhu likirud itakuaje,kha!.
 
Kwa mujibu wa sheria hata tanzania, mahusiano hayo ni kosa kisheria, nenda kawalipue Polisi tu,
Bora uwape dili Polisi wamsumbuesumbue kidogo kwa kumlia pesa yake manake najua
jinsi walivyokuwa warushwa hawatampeleka mahakamani kwa kosa hilo unless otherwise kuwe na mkono wa mtu!
 
Wadau,

Hii nimekutana nayo Julius Nyerere International Airport TERMINAL ONE,ambapo kuna m-baba mmoja mtu wa makamo hivi ambaye ana kijikampuni cha huduma za usafiri wa anga.

Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba,mkasa ulikuwa hivi,m-baba huyu aliyekuwa ameoa kwa ndoa ya kanisani na kufanikiwa kupata watoto wawili,alimchukua mdogo wake wa kike kutoka Bukoba ili aweze kumsaidia na kumuhudumia wifi yake (mke wa huyo m-baba) ambaye alikuwa amejifungua mtoto wao wa pili.

Lakini baada ya muda m-baba huyo akaanza kucheza mchezo mchafu na mdogo wake (ambaye ni tumbo moja na yeye).

Migogoro ilianza ndani ya ndoa hatimaye mke akapata habari kuwa wifi yake ndio mwizi wake.

Baada ya kuweka mtego na kuwafuma mmama wa watu hakutaka makuu,alifungasha kila kilicho chake na kusepa.

Nimeambiwa kuwa ni miaka sasa dada na kaka huyo wanaishi kama mume na mke,wazazi wao waliamua kuwatenga baada ya kupata habari hizo na mpaka muda huu hawajawahi kupata mtoto.

Niliwashuhudia wanandugu hao wakiwa wanaingia kazini,naambiwa ni kama kumbikumbi,huwa wanafuatana kila sehemu wanayokwenda.

Imenistua sana,hii laana bandugu.

Ni sawa tuh! Babu kaoa bibi,baba kaoa mama na yeye kaka kaoa dada!
 
Back
Top Bottom