Kaka kamuoa dada!

Kaka kamuoa dada!

Hahaha inamaana hili kabila la hawa jamaa ngono ndo imetawala kufikia mtu na dada alafu kwao inaonekana ni kawaida? Maana nilishazoea wahaya wanaendekeza ngono ila si ndugu kwa ndugu. Nikimwangalia dada angu alivyofanana na mama na mimi nilivyofanana na mama alafu eti........ Mh God forbid
 
Mimi sina dada sijui Watu wanajiskiaje kwa dada zao...yaani natamani nami ningekua nae walau mmoja nahisi kunavitu nimemisi. Hapa hata siwezi kuchangia coz sijui
 
Daaa kweli dunia tambala bovu,kama watu ndo tunafikia hatua hii dunia imekwisha
 
Daaa ni mbaya hiyo, bora hata binamu kidogo lakini your blood sister haijakaa fresh. Siwapendi watu wa aina hii.

Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
 
wanadumisha mapenzi ya mungu, maana hapo mwanzo mungu aliumba adam na eva tu, baada ya hapo watoto wa adam na eva walioana kama kawa!
Na wewe ni muathirika wa hili janga nyemelezi???
 
msimsingizie shetani ni wao wenyewe wameruhusu upenyo wa ibilisi kufanya kazi ndani yao
kweli dunia imekwisha kabisa na naona zile zana za mwisho wa nchi zimekaribia QUOTE=Lyagwa;7566852]Inahitaji moyo wa aina yake kufanya hayo, duh sijui hao ndg walianzaanzaje jamani hadi kuvuana nguo, shetani at work[/QUOTE]
 
Wadau,

Hii nimekutana nayo Julius Nyerere International Airport TERMINAL ONE,ambapo kuna m-baba mmoja mtu wa makamo hivi ambaye ana kijikampuni cha huduma za usafiri wa anga.

Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba,mkasa ulikuwa hivi,m-baba huyu aliyekuwa ameoa kwa ndoa ya kanisani na kufanikiwa kupata watoto wawili,alimchukua mdogo wake wa kike kutoka Bukoba ili aweze kumsaidia na kumuhudumia wifi yake (mke wa huyo m-baba) ambaye alikuwa amejifungua mtoto wao wa pili.

Lakini baada ya muda m-baba huyo akaanza kucheza mchezo mchafu na mdogo wake (ambaye ni tumbo moja na yeye).

Migogoro ilianza ndani ya ndoa hatimaye mke akapata habari kuwa wifi yake ndio mwizi wake.

Baada ya kuweka mtego na kuwafuma mmama wa watu hakutaka makuu,alifungasha kila kilicho chake na kusepa.

Nimeambiwa kuwa ni miaka sasa dada na kaka huyo wanaishi kama mume na mke,wazazi wao waliamua kuwatenga baada ya kupata habari hizo na mpaka muda huu hawajawahi kupata mtoto.

Niliwashuhudia wanandugu hao wakiwa wanaingia kazini,naambiwa ni kama kumbikumbi,huwa wanafuatana kila sehemu wanayokwenda.

Imenistua sana,hii laana bandugu.

Ni laana na yanaumiza sana lakini siku hizi yapo hata mimi ninafahamu wengine pia'tuwaombee watoke kwenye hiyo hali.
 
Ee Mungu uturehemu..sipati picha hiyo siku ikifika.
 
Kugoma kwa mvua kunyesha imesababishwa na uharibifu wa mazingira unaoharibu ozone layer. Pia uzinzi umechangia sana maana utafikiri hata VVU hakuna!!! watu ni kulabuana tu hadi kaka na dada aibu sana!!!
 
si bure hapo lazima nguvu za giza zinahusika Hii dunia aise ni zaidi ya uijuavyo
 
Wahaya ndo walivyo hao, wanaona kawaida sanaaaaa
 

Inaelekea kule Bukoba ni kawaida kwani kuna wanafunzi walisoma Lake Sekondari kaka na dada aliakuwa wakilala kitanda kimoja misho wakawa wapenzi waliojawa wivu mzito sina taarifa leo watakuwa hali gani bila shaka watakuwa walioana pia.


kuna tabia zingine huwezi kuimagine kabisa
 
Back
Top Bottom