Kaka kamuoa dada!

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
286
Wadau,

Hii nimekutana nayo Julius Nyerere International Airport TERMINAL ONE,ambapo kuna m-baba mmoja mtu wa makamo hivi ambaye ana kijikampuni cha huduma za usafiri wa anga.

Kwa taarifa nilizopewa na mmoja wa wafanyakazi wake ni kwamba,mkasa ulikuwa hivi,m-baba huyu aliyekuwa ameoa kwa ndoa ya kanisani na kufanikiwa kupata watoto wawili,alimchukua mdogo wake wa kike kutoka Bukoba ili aweze kumsaidia na kumuhudumia wifi yake (mke wa huyo m-baba) ambaye alikuwa amejifungua mtoto wao wa pili.

Lakini baada ya muda m-baba huyo akaanza kucheza mchezo mchafu na mdogo wake (ambaye ni tumbo moja na yeye).

Migogoro ilianza ndani ya ndoa hatimaye mke akapata habari kuwa wifi yake ndio mwizi wake.

Baada ya kuweka mtego na kuwafuma mmama wa watu hakutaka makuu,alifungasha kila kilicho chake na kusepa.

Nimeambiwa kuwa ni miaka sasa dada na kaka huyo wanaishi kama mume na mke,wazazi wao waliamua kuwatenga baada ya kupata habari hizo na mpaka muda huu hawajawahi kupata mtoto.

Niliwashuhudia wanandugu hao wakiwa wanaingia kazini,naambiwa ni kama kumbikumbi,huwa wanafuatana kila sehemu wanayokwenda.

Imenistua sana,hii laana bandugu.
 
kwa wahaya, wala usishangae, mwalimu wangu wa ufundi alikuwa mhaya na alikuwa na vijana wawili wakubwa KE na ME, ilikuwa mwalimu akitoka walikuwa wanakimbizana na wanagaragazana utadhani mtu na mpenzi wake
 
kuendekeza tamaa inabidi wazee wa kanjanja waipate hii
 
Huko tunapoelekea duuuh!!! Hebu Yesu shuka dunia iishe!
 
By the way how do you start.......! Sababu nikiwaangalia dada zangu, I almost see myself, How do u want want to sleep with ur sister Gosh...........!


it was the only part my mind could not accept,till now,haven't got the answers on the "HOW FACTOR"HOW DID THEY START SUCH A NASTY THING?I CAN'T IMAGINE BRO
 

wanadumisha mapenzi ya mungu, maana hapo mwanzo mungu aliumba adam na eva tu, baada ya hapo watoto wa adam na eva walioana kama kawa!
 
...yaaa shetani yuko bize kuliko tunavyodhania ...
 
Inahitaji moyo wa aina yake kufanya hayo, duh sijui hao ndg walianzaanzaje jamani hadi kuvuana nguo, shetani at work
 
Sasa wanyama ndiyo huenda wana akili
timamu sana kwa hili limepitiliza sana
sijui huenda ni kiburi cha pesa........
 
Huyu anastahili hata kunyonwa kwani hapa hakuna dini wala kabila wanaofanya hv watu wa familia moja au tumbo moja kuoana halafu tunashangaa mafuriko yanatokea wp?au kimbunga kwa laana hz daaaahhhh hafai ktk jamiii?
 

Inaelekea kule Bukoba ni kawaida kwani kuna wanafunzi walisoma Lake Sekondari kaka na dada aliakuwa wakilala kitanda kimoja misho wakawa wapenzi waliojawa wivu mzito sina taarifa leo watakuwa hali gani bila shaka watakuwa walioana pia.
 
Hata huku kwetu wapo mpendwa wangu,wanabanduana bila wasiwasi ndugu wameshasamehe ila baba yao ilibidi akodi bunduki aina ya Gombole ili wakikanyaga kwake tu awageuze Westgate.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…