Kaka huyu bahiri

Kaka huyu bahiri

hahahahah eeeeehhh mwanaume atatafuta kwa jasho ili alishe familia, mwanamke atazaa kwa uchungu





Hivi kwanini wanawake mnatuita bahiri?

Wakati wewe unafanya kazi, nazaidi unaweza ukawa unanizidi kipato na mbaya zaidi unasema unanipenda sasa mapenzi gani haya ya kuviziana?

Nawaombeni mnijulishe tatizo linatokea wapi?
 
ndo utajua kwa nini meno yanatafuna lakini ulimi ndo unasikia utamu

lazima utoe hela.
Ni mwiko kugonga free.
Ni kama kuchovya ugali kwenye maziwa ya mgando nyumbani kwa mfugaji.

NI mwiko kumuhonga demu akitaka anihonge yeye...utamu ninaopata mimi ndio utamu anaopata yeye-Azma msanii wa HIP HOP
 
Na nyie pia ni rahisi ....Kwani sisi si ndio tunawashawishi nyie mnaingia mkenge...Mkionyeshwa paja au chuchu tuu mmeingia mkenge....Nyie wanaume mnajiachia achia sana wa siku hizi...Zipu waaaaahhh







This is not good spirit.
Ndio maana wanawake ni rahisi kuwa abusive kwa ajili ya hii dependence.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom