Kainerugaba yye ndie fisadi wa elimu

Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,
kwani mtaala wa masomo ya Kisheria Tanzania unatolewa kwa Kiswahili ?
Jibu hoja za Msemakweli juu ya elimu ya kina Mary Nagu, Makongoro Mahanga, na vilaaza wengine.
JF sio jukwaa la kujisafishia, wewe kama unaona Msemakweli kakuchafua nenda kajisafishe mahakamani.....

Sema kasoro ya elimu ya Msemakweli hadharani, otherwise kawaambie vilaza wenzio mrudi darasani mkasome , ili msafishe ubongo.
 
Naadhani sijaeleweka kwa wana JF. Nasema Kainerugaba ni fisadi wa elimu kwasababu uwezo wake (kama ulivyojidhirisha kwenye kuandika kiingereza and kiswahili kibovu na kutofanya utafiti unaofuata methodology ya kuandika vitabu) unaonekana si msomi au ana degree ya chupi. yeye kwasababu si msichana basi tuseme alidesa sana, aliiba mtihani, ana cheti lakini hana elimu!!!!!!!!
 
Naadhani sijaeleweka kwa wana JF. Nasema Kainerugaba ni fisadi wa elimu kwasababu uwezo wake (kama ulivyojidhirisha kwenye kuandika kiingereza and kiswahili kibovu na kutofanya utafiti unaofuata methodology ya kuandika vitabu) unaonekana si msomi au ana degree ya chupi. yeye kwasababu si msichana basi tuseme alidesa sana, aliiba mtihani, ana cheti lakini hana elimu!!!!!!!!

Unajua mahakama zilipo?
Elezea maana ya hapo kwenye bold!!?
utafiti unaofuata methodology ya kuandika vitabu
wewe kweli ni kilaza, Methodolody ya kuandika vitabu????? kwi kwi kwi ama una maana Research methodology kabla ya kuandika???????
 
Nimesoma kitabu cha Kainerugaba Msemakweli nikagundua kuwa yeye ndo Fisadi wa elimu kwa sababu zifuatazo:
1. Anasema ni mwanasheria wakati hana hata uwezo wa kuandika kiswahili kilichonyooka
2. Anasema ni msomi wakati ameandiska kitabu bila kufuata misingi ya kiuandishi, yaani kufanya utafiti. yeye amepachika kashfa tu kwenye hako kajitabu.
3. Hajatueleza methodology aliotumia
Sawa tuseme hao anaowatuhumu ni mafisadi wa elimu. Je amejishughulisha ku-contact vyuo walivyosoma kuona kama vinatambulika na TCU? etc?

Watanzania tusishabikie uoza, vichaa watakuwa wanaibuka wana-chafua watu. We have to speak out!
Huyu Kainegugaba ni unguided missile au overt Ze Utam,

Wewe unafaa kuitwa kim@avi
 
Naadhani sijaeleweka kwa wana JF. Nasema Kainerugaba ni fisadi wa elimu kwasababu uwezo wake (kama ulivyojidhirisha kwenye kuandika kiingereza and kiswahili kibovu na kutofanya utafiti unaofuata methodology ya kuandika vitabu) unaonekana si msomi au ana degree ya chupi. yeye kwasababu si msichana basi tuseme alidesa sana, aliiba mtihani, ana cheti lakini hana elimu!!!!!!!!
yeye sio mtaalamu wa lugha, na kutoelewa vyEMA kiingereza sio sababu yakuitwa fisadi wa elimu, toa hoja Je alihitimu chuo gani na je alifaulu kwa ngazi gani, je chuo alichosoma kinatambulika.
wewe rudi shule kasome, usitafute huruma JF, maana humu utapata manundu tu, watu hawana huruma na wewe hata kidogo.
 
Jamaa kilichomleta JF ni Kainerugaba. Huyu jamaa zezeta kweli.........

Waambie waliokutuma kuwa nimeshtukiwa na wana JF
 
Huyo jamaa na post yake moja, hakuna haja ya kuusumbua ubongo wangu kufikiri eti ni nani, hao ndo wale wale wa degree za online!
Leo bungeni Sitta amemsafisha Mattayo David Mattayo ,naibu waziri wa kilimo kuwa degree zake sio FAKE kwa kuonesha vithibitisho toka shule alizosoma. Ingekuwa vyema kama angefanya vivyo hivyo kwa wale wote wanaoshukiwa kwa Bunge kupata uthibitisho kutoka vyuo husika kama vipo!! Unfortunately, Sitta analifanyia jambo hili usanii kwani imethibitika kuwa Nchimbi na Kamala walilidanganya bunge kuwa wana DOCTORATES kumbe hawana na hakuna hatua zozote za kinidhamu ambazo wanachukuliwa!! Hapo hata upambanaji wake ndipo unapopata dosari la kutiliwa shaka kama kweli ni mtu wa viwango pia!!
 
Naadhani sijaeleweka kwa wana JF. Nasema Kainerugaba ni fisadi wa elimu kwasababu uwezo wake (kama ulivyojidhirisha kwenye kuandika kiingereza and kiswahili kibovu na kutofanya utafiti unaofuata methodology ya kuandika vitabu) unaonekana si msomi au ana degree ya chupi. yeye kwasababu si msichana basi tuseme alidesa sana, aliiba mtihani, ana cheti lakini hana elimu!!!!!!!!

Usipoangalia kweli hautaeleweka humu jamvini maana umekuja kwa gia kubwa sana tena bila kupiga hodi turudi kwenye mada yenyewe

Umesema yeye ni fisadi wa elimu kwa sababu hajui kuandika vizuri kiingereza na kiswahili au nakosea hivi hii nayo ni sifa ya kuwa fisadi wa elimu basi tuombe itumike Tanzania tu maana kuna nchi nyingi sana hawatumii kiswahili sijui nao tutawaita mafisadi wa elimu

halafu hii methodology ya kuandika vitabu hebu nifafanulie kidogo imenipiga chenga kwa ushauri tu kama kweli unauhakika yeye ni fisadi wa elimu mpeleke mahakamani au na wewe andika kitabu cha mafisadi wa elimu ukimjumuisha na Kainerugaba ila usikosee spelling wasije wakakuita na wewe fisadi wa elimu
 
Kama tunaweza kuwa na mwalimu wa upe kama naibu waziri au mkuu wa mkoa unategemea nini kwenye maamizi yake? CCM ina wenyewe na wenyewe ndio hao, ndio maana tunaumia kiasi hiki na bado.
 
Kama tunaweza kuwa na mwalimu wa upe kama naibu waziri au mkuu wa mkoa unategemea nini kwenye maamizi yake? CCM ina wenyewe na wenyewe ndio hao, ndio maana tunaumia kiasi hiki na bado.
ndo hicho cha ajabu, kuna haja gani ya kuwang'ang'ania watu vilaza kama hawa wakati vyuo vyetu vinazalisha elites wa kutosha, kweli darasa la saba na mwalimu wa upe ataweza changamoto za jiji hili la DSM, jamani, ndo maana sishangai namna jiji lilivyorudi nyuma kiusafi tangu kuondolewa kandoro.
 
Wanaomtetea Kainerugaba ni mafisadi wa elimu pia. Yaani wana vyeti ambavyo havi reflect uwezo wao kichwani. Mtu ambaye hawezi ku spell laissez-faire kweli ana degree ya Sheria? aliandika Kikwete is a laizer-fair president. Ukisoma kitabu utadhani kimeandikwa na mtoto aliefeli Form two. Kwahiyo yeye ni fisadi wa elimu, ali-fisidi degree wakati yeye standard yake ni form two. [eriod

Ndio shida yetu watanzania tunaamini zaidi wajuvi wa lugha kuliko hoja zao.Hata kama kairugaba hajui kuitamka lezafea sio issue....ila hao watu wako kuwa na vyeti feki ndio issue....angekua Mchina undesema hajui kizungu?
 
Back
Top Bottom