Kaibuka na vitasa

Kaibuka na vitasa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
“Magumu yaliyokupata wewe, yalikupata kwasababu mimi nilikataa nilikataa Utekaji na mpaka leo nakataa UTEKAJI vilele”-; Bishop Gwajima a.k.a Jasusi la Mbinguni.


 
Maana ya hii ni nini?

Determined to be inconsequential!

No real threat, and can be used to help clean the disfigured image!

Underhand dealings to easily hoodwink the gullible amongst us!

Siku Tundu Lissu akitoka gerezani na TEC kukaa meza moja na waovu, siku hiyo nitajuwa Tanzania haina matumaini tena.

Tuendelee kufurahia "ufufuko."
 
Maana ya hii ni nini?

Determined to be inconsequential!

No real threat, and can be used to help clean the disfigured image!

Underhand dealings to easily hoodwink the gullible amongst us.

Siku Tundu Lissu akitoka gerezani na TEC kukaa meza moja na waovu, siku hiyo nitajuwa Tanzania haina matumaini tena.

tuendelee kuvurahia ufufuko.
Wapo wapi Hawa ndo wanahitajika katika maridhiano
1767239636515.jpg
 
Ila Gwajima😀😀🙌🏿🙌🏿🙌🏿

 
Wapo wapi Hawa ndo wanahitajika katika maridhianoView attachment 3523513
Hii hadaa ya "Maridhiano", hivi huyu mtu hana akili za kujuwa kuwa waTanzania wanaelewa maana halisi ya "Maridhiano" ni nini?

Maridhiano yanakuwepo kati ya nani na nani. Inawezekana vipi mtu mwovu ndiye asimamie maridhiano ya yeye mwenyewe kujisafisha!
Kutumia njia ya maridhiano ili kujisafisha na dhambi alizowafanyia waTanzania itawasaidia kitu gani waTanzania, huku yeye akibaki akishikilia madaraka kiharamu, na akiendelea na njia zile zile za uovu?

Huyu mwanamke kweli anazo akili timamu huyu, wakati hata anajifanya hakumbuki matukio mbalimbali ya hadaa aliyokwisha wahadaa waTanzania?
 
 
Back
Top Bottom