Kutokana na nature ya shughuli ya uchimbaji wa madini labour intensive production technique haikwepeki, hauwezi ukapunguza idadi kubwa ya wafanyakazi na vibarua ghafla pasipo Kuathiri ufanisi. wamegundua solution ya tatizo lao sio idadi ya watumishi na vibarua bali investment policies za nchi yetu kwa sasa hazipo stable. Unawekeza leo lakini hujui kesho yako itakuaje, kila siku Mambo yanabadilika(hata katika forex, traders makini hudeal na pair ambazo trend yake inatabilika). Pia inawezekana wameona hiyo trill 1 waliyoiwekeza Tanzania kuna nchi nyingine ambapo inaweza ikawapa faida zaidi. Kumbuka wafanyabiashara ni profit oriented na sio service oriented.Gram 1.35 kwa mwaka????????
Na kama ni kutoka 1.35 mpaka 1.00 kwanini wasipunguze wafanyakazi, expenditure wakaendelea na Kazi. Badala yake wanafunga rasmi.
Kwa tafsiri rahisi ni kuwa wanazalisha dhahabu isiyotosha kutengeneza hata Pete 1 ya gram 2 sasa sijui kwa muda ganiGram 1.35 kwa mwaka????????
Na kama ni kutoka 1.35 mpaka 1.00 kwanini wasipunguze wafanyakazi, expenditure wakaendelea na Kazi. Badala yake wanafunga rasmi.
Kwani DA MANGE ANASEMAJE?Hide my ID plz.Huo ni mwanzao, Nyamongo unafuata siku sio nyingi. Tetesi ni kwamba madini sasa wanaenda kupewa wachina wachimbe. Tutakoma kumpa raia wa nchi ya jirani uongozi
Unatumia magoti kufikiri au ubongo umeambiwa katika 1kg ya unga wa mawe zinatoka 1.3 gm za dhahabu unauliza habari za saa sekundeKutoka gram 1.35 hadi gram 1???? Mwandishi huwezi kuwa serious, hiyo gram ni kwa sekunde,dakika,SAA,siku au mwaka.
Kwa kila kilo moja ya mchanga... endelea kusoma usiwe kama unatoka chato piaKutoka gram 1.35 hadi gram 1???? Mwandishi huwezi kuwa serious, hiyo gram ni kwa sekunde,dakika,SAA,siku au mwaka.
Muulize mtoa mada kama haja edit baada ya Mimi kusema ulichosema wewe nafikiri kutumia magoti. Sidhan kama inasaidia chochote. Hiyo kilo ya mawe ndio naiona saivi baada ya mtoa mada Ku edit.Unatumia magoti kufikiri au ubongo umeambiwa katika 1kg ya unga wa mawe zinatoka 1.3 gm za dhahabu unauliza habari za saa sekunde
We utakuwa punda kihongo wa ccm
Cc ZurieUnatumia magoti kufikiri au ubongo umeambiwa katika 1kg ya unga wa mawe zinatoka 1.3 gm za dhahabu unauliza habari za saa sekunde
We utakuwa punda kihongo wa ccm
Sasa umeshindwa kuelewa kituu ganii hapo ndug yng. Mbona jamaa kaeleweka labda kama amesema uongo.Kutoka gram 1.35 hadi gram 1???? Mwandishi huwezi kuwa serious, hiyo gram ni kwa sekunde,dakika,SAA,siku au mwaka.
Mkuu original post haikuwa na hiyo kilo ya Mawe, baada ya kushindwa kuelewa ndio mtoa mada aka edit,Sasa umeshindwa kuelewa kituu ganii hapo ndug yng. Mbona jamaa kaeleweka labda kama amesema uongo.
Hapo kwenye gm1 kwa kg1 ya mchanga sija kuelewa upo sahihi au umekosea?kama nikweli hiyo ni gold nyingi sana.rudia vizuri hyo tarifa siamini hapo.KAHAMA: Zaidi ya wafanyakazi 1,300 wamekosa ajira, huku Kodi ya Sh. Bilioni 28 ikikosekana baada ya Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi kufungwa rasmi.
Taarifa za uhakika zinaeleza kuwa mgodi huo unaomilikiwa na Acacia, umefungwa kwa kushindwa kuzaliwa kiwango cha madini hayo kilichotarajiwa.
Kufungwa kwa mgodi huo pia kumeikosesha Wilaya ya Kahama jumla ya Sh. Bilioni 1.7 zilizokuwa zikilipwa kila mwaka, ikiwa ni mrabaha.
Uongozi wa mgodi huo umeeleza kuwa uzalishaji wa dhahabu katika eneo la mgodi umeshuka kutoka gramu 1.35 hadi 1.00 (kwa kila kilo moja ya mchanga/mawe inayochimbwa) kwa mwaka jana. Mgodi huo ulianzishwa mwaka 2009 kwa mtaji wa wawekezaji unaokaribia Sh. Trilioni moja.
Tayari mgodi huo umeanza kuuza baadhi ya mali zake yakiwamo magari, mashine, majengo na vifaa vingine. Mnada mkubwa wa kuuza mali za mgodi huo utafanyika mapema mwezi Machi, 2018.
Kaa kimya kma hujui mambo ya madini wewe.Kama uzalishaji umeshuka, issue iko wapi? Kila mgodi una mwisho wake, tulifikiria utakaa milele?