Maajabu haya!! Usichokijua ni kwamba kwa nchi isiyofuata mipango ya kitaifa basi kila rais anakuwa na priority zake!!Si hayo ya ooh rais aje wa uchumi wa gas ,mara ooh kahama sijui nini wakati nothing on ground
kuna mji una uchawi wa kiwango cha juu sana😂 😂 😂 😂 😂
Huo mradi ulikuwepo mkuu!Mkuu sikuwahi kusikia hou mpango wa mradi, tukiwaambia watu magufuli ameua uchumi wapambe wake wanatetea, nini kilitokea wakaacha kufanya mradi huo ?, au yaleyale ya ushamba wa kiuchumi ?.
Mkuu mbona kuna taarifa huu mradi mwekezaji ameuhamishia msumbiji baada ya urasimu mwingi hapa kwetu? Kuna ukweli wowote?Nimekaa kimyaaaa nikiwachabo mnavyojisifia tuu na vitongoji vyenu.
Umewahi kusikia Lindi LNG Project? Huu mradi unaanza 2022 kujengwa na utakamilika baada ya miaka 7, ni mradi utakaozalisha Ajira zaidi ya 10,000 kipindi cha ujenzi, 3,500 za moja kwa moja baada ya mradi kukamilika. Thamani ya mradi ni $30Billion.
Kitu pekee kuhusu huu mradi ni kuwa unatekelezwa ndani ya manispaa, hivyo mabadiliko ya Manispaa hii kuwa jiji la Kibiashara ni kubwa sana.
Viwanda vikubwa vitavyojengwa ni zaidi ya 150, bado vidogo na size ya kati. Kaeni Mkao wa kuchukia msioipenda kusini.
Hakuna mbao wala migodi kwani sisi hakutokuwa na mashimo ya migodi kwani gas huchimbwa ndani ya bahari.
Kila Mtanzania ajiandae kwenda Lindi kudaka kiwanja, au ardhi ya uwekezaji kwani kitakaponuka hamtoweza kununua hata 20×20 pale Manispaa.
Karibuni kwenye mada
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga
Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Usisikie ya vijiweni ndugu, Lindi watu soon wanalipwa fidia na kuhama kwani ni kijiji kizima. Huu mradi ni mkubwa kuliko wa Msumbiji, fanya tafiti utagundua.Mkuu mbona kuna taarifa huu mradi mwekezaji ameuhamishia msumbiji baada ya urasimu mwingi hapa kwetu? Kuna ukweli wowote?
Huo mradi ulikuwepo mkuu!
In short ilikuwa hivi: baada ya gas nyingi kugundulika Deep Sea, Kampuni za Mafuta zikasema kwavile gas ipo deep sea basi processing plant ijengwe huko huko. Serikali wakakataa na kuwaambia wazi kwamba plant ikiwa baharini hatutaweza ku-monitor!
Baada ya majadiliano, wakakubaliana investment kwenye gas economy iwe shared kwenye mikoa ambako imepatikana gas kwa wingi, ambayo ni Lindi na Mtwara!
Katika kutekeleza hilo, Mtwara wakapewa shavu la kuwa gas transportation hub, na ndio maana kama utakumbuka, mwishoni wa utawala wa JK Bandari ya Mtwara ikaanza kukarabatiwa na ubize Mtwara ukaongezeka!
Wakati Mtwara imeteuliwa kuwa transport hub, Lindi ikapewa shavu la kuwepo kiwanda cha kusindika gas ambacho kingejengwa na muunganiko wa kampuni 3 za mafuta.
Kabla hawajafika kokote, JK aliyekuwa anaota Gas Economy muda wake ukaisha akaingia Magu!!!
Kama tujuavyo, alipoingia tu Magu yeye akaja na vipaumbele vyake kama vile madini na ununuzi wa ndege! Mradi Mkubwa wa Gas Processing Plant haukuonekana tena kama ni kipaumbele kwake kama alivyokuwa amefanya kwa mradi wa Bandari ya Bagamoyo!
Katika hali ya kushangaza kabisa, Magu akatangaza kwamba gas yote imeshauzwa wakati ni uongo mtupu!!!
Huyu rais ametupoteza kama Taifa, hatuna muelekeo, trillion 41Tshs zimetupwa pale chato kujenga uwanja wa ndege ambao haijulikani utafanya kazi gani hapo baadaye, labda kufugia ngedere
Anyway, ule muunganiko wa makampuni waliokuwa wamepanga kuwekeza kwenye gas processing plant wakaona kama Magu hasomeki; wakaona isiwe shida wakaenda zao Msumbiji!!!
Leo ukifika Pemba Msumbiji, kumechangamka balaa huku Tanzania tukiwa hatujui mustakabali wa sekta mzima ya gas!! Leo ndo nikashangaa kuona video ya Dr. Matagiro Mkurugenzi wa TPDC akiwahamasisha Watanzania kuwekeza kwenye sekta ya gas huku akisema nchi ina cubic feet 57.5 Trillion!
Nikabaki kujiuliza... gas ipi tena wakati JPM kautangazia umma kwamba Awamu ya IV imeuza gas yote!!!
Ukienda kahama stend saa nane ucku utafikili ni mchana. Nenda mafinga Sasa hukuti ata mtu mmoja wote washalala
Tofautisha miji ya kichuuzi na miji ya wastaarabuUkienda kahama stend saa nane ucku utafikili ni mchana. Nenda mafinga Sasa hukuti ata mtu mmoja wote washalala
Mufindi nimekaa especially makao makuu Mafinga ni mji mzuri labda useme hali ya hewa safi na ustaarabu safi ila mzunguko wa hela,fursa n.k halooo mji mgumu ule halafu ndugu zangu wahehe naonaga washamba hahahhah ila wapole na huruma ipo.
Kahama Sijawahi kufika to be honest ila kuna watu wa karibu wanakusifia mzunguko wa hela uko mkubwa a fursa kedekede biashara zipo onfire. Hapa ilibidi tulinganishe hii miji midogo Mafinga na kahama kwenye fursa za kiuchumi na mzunguko wa pesa si vinginevyo maana mafinga ukisema kwenye kujengeka na mazingira ataibuka kidedea while kwenye fursa na mzunguko wa pesa atalazwa chali na Kahama.
Lindi hii yenye cubic feet trillion kadhaa za gas, au?! Kwa sasa inaweza kuipita au imeshaipita lakini akija kiongozi anayefahamu umuhimu wa uchumi wa gas, mikoa mingi itasubiri!
Nikukumbushe tu kwamba kabla ya Magu, pale Lindi ilikuwa ijengwe gas processing plant yenye thamani ya takribani TZS 70 Trillion!
Changanya uwekezaji wote uliopo Tanzania, I doubt kama unafikia TZS 70 Trillion!
Mkuu sikuwahi kusikia hou mpango wa mradi, tukiwaambia watu magufuli ameua uchumi wapambe wake wanatetea, nini kilitokea wakaacha kufanya mradi huo ?, au yaleyale ya ushamba wa kiuchumi ?.
Nimekaa kimyaaaa nikiwachabo mnavyojisifia tuu na vitongoji vyenu.
Umewahi kusikia Lindi LNG Project? Huu mradi unaanza 2022 kujengwa na utakamilika baada ya miaka 7, ni mradi utakaozalisha Ajira zaidi ya 10,000 kipindi cha ujenzi, 3,500 za moja kwa moja baada ya mradi kukamilika. Thamani ya mradi ni $30Billion.
Kitu pekee kuhusu huu mradi ni kuwa unatekelezwa ndani ya manispaa, hivyo mabadiliko ya Manispaa hii kuwa jiji la Kibiashara ni kubwa sana.
Viwanda vikubwa vitavyojengwa ni zaidi ya 150, bado vidogo na size ya kati. Kaeni Mkao wa kuchukia msioipenda kusini.
Hakuna mbao wala migodi kwani sisi hakutokuwa na mashimo ya migodi kwani gas huchimbwa ndani ya bahari.
Kila Mtanzania ajiandae kwenda Lindi kudaka kiwanja, au ardhi ya uwekezaji kwani kitakaponuka hamtoweza kununua hata 20×20 pale Manispaa.
Ukienda kahama stend saa nane ucku utafikili ni mchana. Nenda mafinga Sasa hukuti ata mtu mmoja wote washalala
Umesema kweli mkuu...kahama usk hata usipotaka kulala unaweza tu....
Umepima vipi kujua kipato mafinga kiko juu zaid ya kahama!Huwezi fananisha Mafinga na Kahama,
Watu wa Mafinga wameendelea kuliko watu wa Kahama,
Parameters ni hizi,
Elimu
Afya
Maji safi
Usafiri
Makazi,
Mazingira
Kipato.
Usitumie tumbo kufikiria.
Sent using Jamii Forums mobile app