Wilbert1974 JF-Expert Member Joined Feb 10, 2011 Posts 1,632 Reaction score 481 May 18, 2012 #1 Wadau wa Kagongwa Kahama - Shy tuwekeeni picha ya hako kamji ka Kagongwa! Hiloo wee ulijua tayari mtu kisha pata ajali eeh... Weka yako?! Unafurahi kuona wenzako wako kwenye majanga eeeh?!:behindsofa:
Wadau wa Kagongwa Kahama - Shy tuwekeeni picha ya hako kamji ka Kagongwa! Hiloo wee ulijua tayari mtu kisha pata ajali eeh... Weka yako?! Unafurahi kuona wenzako wako kwenye majanga eeeh?!:behindsofa:
THK DJAYZZ JF-Expert Member Joined Sep 14, 2011 Posts 2,166 Reaction score 175 May 18, 2012 #2 Searching...100% Loading...0% Network failed !
K KING FIRDAUS Member Joined Apr 25, 2012 Posts 22 Reaction score 0 May 19, 2012 #3 Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama?
papaa-H Member Joined Nov 11, 2010 Posts 74 Reaction score 11 May 20, 2012 #4 mkuu iko nyuma ya kahama yani..kagongwa...kahama mjini
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,304 Reaction score 12,997 May 20, 2012 #5 mamaa mbavu dhangu!
Mshuza2 JF-Expert Member Joined Dec 27, 2010 Posts 11,555 Reaction score 17,947 May 20, 2012 #6 Hiyo cha mtoto,kuna sehemu pale Singida inaitwa Senge,kuna shule pale ya sekondari inaitwa Senge Sekondari,sasa siku moja wale walimu walienda mei mosi, ulipofika muda wa kutambuliswa ilikua kasheshe! Mc akasema walimu ******* WASIMAME...true story!
Hiyo cha mtoto,kuna sehemu pale Singida inaitwa Senge,kuna shule pale ya sekondari inaitwa Senge Sekondari,sasa siku moja wale walimu walienda mei mosi, ulipofika muda wa kutambuliswa ilikua kasheshe! Mc akasema walimu ******* WASIMAME...true story!
Nyakageni JF-Expert Member Joined Feb 1, 2011 Posts 15,044 Reaction score 5,114 May 20, 2012 #7 papaa-H said: mkuu iko nyuma ya kahama yani..kagongwa...kahama mjini Click to expand... ana lake huyo
papaa-H said: mkuu iko nyuma ya kahama yani..kagongwa...kahama mjini Click to expand... ana lake huyo
John locke JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 837 Reaction score 1,290 May 20, 2012 #8 Mkuu kagongwa nyuma afu ndo kahama mjini.
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 11,083 Reaction score 14,565 May 22, 2012 #9 una rafudhi ya ukagongwa ?
Domowazi JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 203 Reaction score 28 May 22, 2012 #10 THK DJAYZZ said: Searching...100% Loading...0% Network failed ! Click to expand... 4 sure it had 2 fail me cjaielewa kabsa..!
THK DJAYZZ said: Searching...100% Loading...0% Network failed ! Click to expand... 4 sure it had 2 fail me cjaielewa kabsa..!
Idimi Platinum Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,506 Reaction score 11,439 May 22, 2012 #11 Shinyanga nayo ina majina ya ajabu ajabu sana. Kile kibao cha "MKUU WA WILAYA - KAHAMA" Mmekiondoa?
KML JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 861 Reaction score 134 May 25, 2012 #12 Idimi said: Shinyanga nayo ina majina ya ajabu ajabu sana. Kile kibao cha "MKUU WA WILAYA - KAHAMA" Mmekiondoa? Click to expand... kahama kaenda wapi sasa??
Idimi said: Shinyanga nayo ina majina ya ajabu ajabu sana. Kile kibao cha "MKUU WA WILAYA - KAHAMA" Mmekiondoa? Click to expand... kahama kaenda wapi sasa??
LINCOLINMTZA JF-Expert Member Joined Mar 15, 2011 Posts 1,639 Reaction score 519 May 25, 2012 #13 KING FIRDAUS said: Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama? Click to expand... Tokea wapi? Kama Dar, unapita kwanza Kangongwa ndo unafika Kahama, na kama unatokea Bukoba, kinyume chake.
KING FIRDAUS said: Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama? Click to expand... Tokea wapi? Kama Dar, unapita kwanza Kangongwa ndo unafika Kahama, na kama unatokea Bukoba, kinyume chake.
Angel Nylon JF-Expert Member Joined Jul 26, 2011 Posts 10,297 Reaction score 21,699 May 25, 2012 #14 mh! Heri mie sijui kagongwa wala kahama. Mi najua tumbatu na makunduuchi tu
Vodka JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 906 Reaction score 96 May 26, 2012 #15 Kama vile kagongwa nyuma alafu yeye akasimamia mbele.Sio siri alipitiliza
Omukuru JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 242 Reaction score 41 May 27, 2012 #16 KING FIRDAUS said: Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama? Click to expand... Inategemea jamaa kagongewa wapi.
KING FIRDAUS said: Hivi... Kama unakwenda kahama,kangongwa iko mbele au nyuma ya kahama? Click to expand... Inategemea jamaa kagongewa wapi.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 May 27, 2012 #17 John locke said: Mkuu kagongwa nyuma afu ndo kahama mjini. Click to expand... Kugongwa Nyuma ni jambo la aibu sana kwa kweli, Nilijua tu lazima Jamaa ahame mjini!!
John locke said: Mkuu kagongwa nyuma afu ndo kahama mjini. Click to expand... Kugongwa Nyuma ni jambo la aibu sana kwa kweli, Nilijua tu lazima Jamaa ahame mjini!!
S Senator p JF-Expert Member Joined Oct 27, 2011 Posts 282 Reaction score 43 May 28, 2012 #18 kahama mbele,kagongwa nyuma ukiwa unatoka tinde.