kwich kwich
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 366
- 106
Mmh nipo mbali na tv,kwa nini hawajaenda vyumbani simba au ndo ushirikina??
lakini hata ningesema nishabikie, hivi simba nayo ni timu? mtu kabisa una akili zako unashabikia simba?
lakini hata ningesema nishabikie, hivi simba nayo ni timu? mtu kabisa una akili zako unashabikia simba?
nichape mwendo kwasababu mimi mpenzi wa Yanga na wewe simba? wana simba mna matusi ivyohivyo. hata hivyo huwezi kuepuka ukweli kwamba simba sio timu. hamia yanga mzee.Jaribu kuficha upumbavu wako kwa kuto comment Chochote kisha chapa mwendo kwa wakoloni wenu huko.
Du Apologise lady hebu Apologise
Ni jangwani, hakuna msitu wa kuungurumia.
Dakika 45: Kagera Sugar 0-0 Simba.
ni raha sana aisee, hasa ukiwa mshabiki wa Yanga. unarushia jambo mtu wa simba halafu unakaa pembeni unamwangalia tu anavyotoa povu...hahahaKhaa, ushabiki bana raha tupu!!!
nichape mwendo kwasababu mimi mpenzi wa Yanga na wewe simba? wana simba mna matusi ivyohivyo. hata hivyo huwezi kuepuka ukweli kwamba simba sio timu. hamia yanga mzee.
hapa nilipo nakula tikiti maji jekunduuu! nasubiria dakika 90 ziishe.
Nikuapologise kwasababu ya unazi wako wa jangwani au???????
Simba 1.
Dakika ya 50 Simba anaona mwezi.
Kagera Sugar 0-1 Simba, Singano.
Golikipa kama anashangilia kufungwa vile!