Kagera Sugar na Serikali kama Birthday ya Ronaldo wa Madrid

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,204
Its Funny, Christian Ronaldo aliangusha party kubwa na kutumbuizwa na mwanamuziki kutoka Brazil, baada ya party ilibidi mwaka mzima Gerald Pique, mchezajiw a Barcelona nayechukiwa sana kuishukuru hiyo party kwani msimu huo Barcelona ilichukua makombe ya kutosha, na Lionel Messi kuwa mchezaji bora Tena.

Mwaka huu Kagera sugar waliandaa Documentary moja yenye mbwembwe sana , ilitumbizwa na mtangazaji mwenye Mbwembwe sana baada ya kujipatia umaarufu ktk masuala ya kuchangisha michango kwa watu weny uhitaji wa matibabu ya ghali.SI mwingine ni SAM MAHELA. Ktk hiyo documentary Waziri mkuu, na rais walionekana kuvutiwa sana na mafanikio yalionyeshwa na hicho kiwanda. Hapa RONALDO ALIOMBA TIMU YOTE IMPE MIPIRA ILI AFUNGE YEYE"..Yaani SUkari ya nje izzuie

Nilipioona tuu hiyo documentary, kwa uelewa wangu mdogo na data sahihi nilizo nazo ktk historia ya matukio ya hii nchi nilijisemea tuu..hii ni "HII NI PARTY NYINGINE YA RONALDO YA KUUIaNGUSHA MADRID" . Nilipata huruma sana kwa mtawala wetu, nilijua siku sio nyingi tutafurahi.Na kitakachotupa furaha zaidi si kitakachotokea ila jinsi kitakavyoshughulikiwa.

Tumesikia mengine mengi km utafiti wa kadi yaserikali ktk siku 100 nao hauuziki kwani wakati report inafika watu huangalia serikali kujihakikishia, wanakuta mafuta yameishia ktk majaribio ya kutumbua Lugumi.

Tumesikia tena tafiti ya ku washangaza hadi Ccm wenyewe. Eti mwanza ni moja wapo ya mikoa Masikini nchi hii na inahitaji msaada wa haraka.
 
Its Funny, Christian Ronaldo aliangusha party kubwa na kutumbuizwa na mwanamuziki kutoka Brazil, baada ya party ilibidi mwaka mzima Gerald Pique, mchezajiw a Barcelona nayechukiwa sana kuishukuru hiyo party kwani msimu huo Barcelona ilichukua makombe ya kutosha, na Lionel Messi kuwa mchezaji bora Tena.

Mwaka huu Kagera sugar waliandaa Documentary moja yenye mbwembwe sana , ilitumbizwa na mtangazaji mwenye Mbwembwe sana baada ya kujipatia umaarufu ktk masuala ya kuchangisha michango kwa watu weny uhitaji wa matibabu ya ghali.SI mwingine ni SAM MAHELA. Ktk hiyo documentary Waziri mkuu, na rais walionekana kuvutiwa sana na mafanikio yalionyeshwa na hicho kiwanda. Hapa RONALDO ALIOMBA TIMU YOTE IMPE MIPIRA ILI AFUNGE YEYE"..Yaani SUkari ya nje izzuie

Nilipioona tuu hiyo documentary, kwa uelewa wangu mdogo na data sahihi nilizo nazo ktk historia ya matukio ya hii nchi nilijisemea tuu..hii ni "HII NI PARTY NYINGINE YA RONALDO YA KUUIaNGUSHA MADRID" . Nilipata huruma sana kwa mtawala wetu, nilijua siku sio nyingi tutafurahi.Na kitakachotupa furaha zaidi si kitakachotokea ila jinsi kitakavyoshughulikiwa.
Uandishi dhaifu kabisa hapa duniani na akhera! Jipange upya!
 
kuna kitu hakipo sawa hapa....na sijui inahusiana vipi na "Jukwaa la Siasa"
 
Mkuu,

Hii ilitokea si Kagera sugar pekee bali hata sehemu nyingine...uzuri na viongozi wengine wakubwa serikalini walisikika wakishabikia uamzi huo. Hapa ndo walikuwa wakimwingiza Magu choo cha kike...

Leo hatuwasikii tena na mawazo mbadala ya tutokeje hapa tulipo....bidhaa zote zinazotengnezwa kwa kutumia sukari hata kijiko kimoja ziko juu...
 
Mkuu asante sana kwa kufichua jambo ambalo waswahili wengi hawakuona , binafsi niliona jambo hilo lililonakshiwa na Mvua ya kutengeneza ili miwa isikauke , you are a true Great thinker .
 
Mkuu,

Hii ilitokea si Kagera sugar pekee bali hata sehemu nyingine...uzuri na viongozi wengine wakubwa serikalini walisikika wakishabikia uamzi huo. Hapa ndo walikuwa wakimwingiza Magu choo cha kike...

Leo hatuwasikii tena na mawazo mbadala ya tutokeje hapa tulipo....bidhaa zote zinazotengnezwa kwa kutumia sukari hata kijiko kimoja ziko juu...
Problem ipo juu zaidi ya hapo. CCM ilijenga nchi isiyo halisia na hivyo sasa wanafanya maamuzi ktk msingi usio halisia.Sijawahi jidanganya ktk maisha yangu ndio maana huwa nachukua njia ngumu. Bahati mbaya sana nchi hii watz wengi fikra zao zimeharibiwa sana. siku zote huwa nasema .CCM UWEZO WAO NI KUTUNGA UONGO UNAOTOSHA KUWADANGANYA WAO TUU. Ndio maana wanachodanganya nacho wananchi wao ndio hukiamini zaidi kuwa ni kweli. Waliwaita wapinzani wanywa viroba,sasa wabunge na mawaziri wao wanashindwa elewa kwanini wapinzani wana hoja hivyo? Ni kiroba nini?Sasa wanakunywa hadi wanadhalilika hivi.Wafuasi wa CCM wote ni waumini na wahanga wa propaganda na uongo wa chama chao. Leo ndio chama kinajenga misingi yake kwa waathirika .
 
Problem ipo juu zaidi ya hapo. CCM ilijenga nchi isiyo halisia na hivyo sasa wanafanya maamuzi ktk msingi usio halisia.Sijawahi jidanganya ktk maisha yangu ndio maana huwa nachukua njia ngumu. Bahati mbaya sana nchi hii watz wengi fikra zao zimeharibiwa sana. siko zote huwa nasema .CCM UWEZO WAP NI KUTUNGA UONGO UNAOTOSHA KUWADANGANYA WAO TUU. Ndio maana wanachodanganya nacho wananchi wao ndio hukiamini zaidi kuwa ni kweli. Waliwaita wapinzani wanywa viroba,sasa wabunge na mawaziri wao wanashindwa elewa kwanini wapinzani wana hoja hivyo? Ni kiroba nini?Sasa wanakunywa hadi wanadhalilika hivi.
Kwamba kwavile wapinzani wana hoja za ukweli ikadhaniwa ni viroba , kwahiyo kitwanga akajaribu ikamtokea puani siyo ?Ha! Ha! Ha!
 
Kitu hiki ndicho kilicholeta haya madhara Na bodi ya ikatumia,kanunu kuwa bosi huwa sawa Na akikosea kumbuka kanuni ya kwanza bosi huwa sawa wakaona wasimpinge waunge mkono hoja hoja ikaungwa mkono sasa matokeo yapo kwa wananchi kauli ya pili ya bosi ni kuhujumiwa Na wafanyabiashara wakati kosa linajulikana je kama alihujumiwa Na hawa wafanyabiashara yanini aliagiza nje ?
 
Its Funny, Christian Ronaldo aliangusha party kubwa na kutumbuizwa na mwanamuziki kutoka Brazil, baada ya party ilibidi mwaka mzima Gerald Pique, mchezajiw a Barcelona nayechukiwa sana kuishukuru hiyo party kwani msimu huo Barcelona ilichukua makombe ya kutosha, na Lionel Messi kuwa mchezaji bora Tena.

Mwaka huu Kagera sugar waliandaa Documentary moja yenye mbwembwe sana , ilitumbizwa na mtangazaji mwenye Mbwembwe sana baada ya kujipatia umaarufu ktk masuala ya kuchangisha michango kwa watu weny uhitaji wa matibabu ya ghali.SI mwingine ni SAM MAHELA. Ktk hiyo documentary Waziri mkuu, na rais walionekana kuvutiwa sana na mafanikio yalionyeshwa na hicho kiwanda. Hapa RONALDO ALIOMBA TIMU YOTE IMPE MIPIRA ILI AFUNGE YEYE"..Yaani SUkari ya nje izzuie

Nilipioona tuu hiyo documentary, kwa uelewa wangu mdogo na data sahihi nilizo nazo ktk historia ya matukio ya hii nchi nilijisemea tuu..hii ni "HII NI PARTY NYINGINE YA RONALDO YA KUUIaNGUSHA MADRID" . Nilipata huruma sana kwa mtawala wetu, nilijua siku sio nyingi tutafurahi.Na kitakachotupa furaha zaidi si kitakachotokea ila jinsi kitakavyoshughulikiwa.
HUjaandika kitu cha kueleweka hapo...unataka tupate ujumbe gani eti. Rudi darasani ujifunze kuandika ujumbe.
 
Kitu hiki ndicho kilicholeta haya madhara Na bodi ya ikatumia,kanunu kuwa bosi huwa sawa Na akikosea kumbuka kanuni ya kwanza bosi huwa sawa wakaona wasimpinge waunge mkono hoja hoja ikaungwa mkono sasa matokeo yapo kwa wananchi kauli ya pili ya bosi ni kuhujumiwa Na wafanyabiashara wakati kosa linajulikana je kama alihujumiwa Na hawa wafanyabiashara yanini aliagiza nje ?
Ile show ilikuwa stage ya ku Launch upuuzi ktk biashara ya sukari nchi. Bahati mbaya sana fikra za kijamaa ktk biashara ni km firi ktk zizi la mbuzi. Fisi atakula hata mbuzi wenye mimba, kwa vile hawezi kimbiza wanyama wenye nguvu. Mwisho wa siku wenye nguvu wanazeeka, na kukosa nguvu ila hawazai mwisho wake nao fisi anawala akidhani ana survive. Mwisho wa siku inabaki zamu yake ya kufa kwa njaa. CCM ndivyo iluvyoifanya hii nchi na wanachokiita Mikakati. Mwisho wake ..hawakujua vitu rahisi ktk uchumi.. Demand-Supply, Price- supply, . Wasomi wote wa kijamaa hawakuona kwamba shida ipo ktk serikali na si Wafanya Biashara. Serikali ndio wanaamua suppliers wawe wangapi, na wao ndio wanajidanganya kwa kuweka data chafu ktk kumbukumbu. Na wao ndio wanashindwa kutoa maelezo au kutambua kuwa shida ni DEMAND- SUPPLY MIS-MATCH . CCM siku zote wana uongo wa kutosha wadanganya wao wenyewe.
 
Ronaldo......Madrid.....Barcelona.......
Wayiiiiii.......sielewi bana.......
 
Back
Top Bottom