MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Naomba Mdau yoyote yule mwenye Picha za Makocha wa Timu za Ligi za Ulaya au hata tu za Misri na Afrika Kusini ambao wakiwa wanacheza Kesho yake basi hukutana kwa kupiga stori Mbili Tatu na kama pia Kimchezo huwa inaruhusiwa.
Asante sana Kocha Mkuu wa Kagera Sugar FC Baraza kwa Kutuandaa mapema Kisaikolojia kwa Matokeo ya Kesho ambapo Watu wa Mpira ( tena huu wa Kibongo na wenye Umafia mwingi ) akina Mightier tumeshajua kuwa Kesho Yanga SC anashinda ila idadi tu ya Magoli ndiyo hatujaijua.
Halafu mnataka Soka la Bongo likue!!!!
Asante sana Kocha Mkuu wa Kagera Sugar FC Baraza kwa Kutuandaa mapema Kisaikolojia kwa Matokeo ya Kesho ambapo Watu wa Mpira ( tena huu wa Kibongo na wenye Umafia mwingi ) akina Mightier tumeshajua kuwa Kesho Yanga SC anashinda ila idadi tu ya Magoli ndiyo hatujaijua.
Halafu mnataka Soka la Bongo likue!!!!