figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameagiza Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto Mkoa wa Kagera, George Mrutu ashushwe cheo.
Pumba kabisa hakuchaguliwa kushusha watu vyeo, NO. Alete ufanisi! Anaigilizia ya mamlaka iliyomteua! Jitu zima halina busara katuWaziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameagiza Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto Mkoa wa Kagera, George Mrutu ashushwe cheo.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameagiza Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto Mkoa wa Kagera, George Mrutu ashushwe cheo.
Is it general order au ndiyo yale raisi kasema nifanye hivi,Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola ameagiza Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto Mkoa wa Kagera, George Mrutu ashushwe cheo.
Utaratibu wake unashangaza..Utaratibu wa kushushwa cheo upoje???