real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Susan Kaganda amechukizwa na kukemea vikali baadhi ya askari wa jeshi la polisi wanaobambikizia raia makosa ili kupewa rushwa nakusema hatowafumbia macho askari wa namna hiyo kwani wanachafua sifa ya jeshi hilo.