Hata hivyo hatuihitaji hasa baada ya rwanda kukubaliwa kuingia kwenye jumuiya!...matokeo yake hope unayaona sasaTanzania inakwamisha jumuiya ya Afrika Mashariki
Hata hivyo hatuihitaji hasa baada ya rwanda kukubaliwa kuingia kwenye jumuiya!...matokeo yake hope unayaona sasaTanzania inakwamisha jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania will and is able to stand alone in any serious issue. Nyie mna mbwelambwela huko kisha mnakuja post hapa eti tumefanya hiki or hiki kila siku...hope that you will tease us..shit..why cant u just go on with your own business!Kitu Kama hujui uliza au kaa Kimya kuliko kujifanya unajua kumbe huna idea na unachozungumza
Nimefurahishwa sana na hii taarifa.
Siyo kweli kwamba Tanzania inakwamisha EAC. Soko la pamoja la EAC linatamka free movement of people, labor, capital, goods, services etc. Nadhani ni jukumu la kila nchi mwanachama wa jumuiya kuhakikisha kuwa wanajumiuya wanaweza kupata hizo free movement kwa uharaka na kwa usalama zaidi.
Kwa sasa Tz hatuwezi tumia ID badala ya passport kwani hizo IDs zenyewe hatuna. Tutakapokuwa na IDs nasi tutaweza kutumia badala ya passport.
Nina uhakika Tanzania inakwamisha mkuu. Mwalimu wa Kenya /Uganda akija kufanya kazi anatozwa dollar 2000 uhamiaji wakat hizo nchi 3 kufanya kaz ni bure
huyo mwalimu wa kenya au uganda ana fuata nini hapa tz!!!si tuna walimu wetu!!!
nakubaliana na wewe kabisa, manake matokeo ya mitihani yanaonekana ni mazuri (oooops)
huyo mwalimu wa kenya au uganda ana fuata nini hapa tz!!!si tuna walimu wetu!!!
ondoa tanzania na burundi sisi tupo aware kua yeyote yule eac anaetaka kuningia nchini lazima awe na passport na sio ids kwani leo tumeona uganda wameeanza kulalamika kua rwanda wameingiza wafugaji wao kibao kulisha mifugo yao kwa kwani wanatumia ids ata za mashuleni hii kali na ni janja ya rwanda na kenya kuwalazimisha other member states kuruhusu ids kwani visa zinamatatizo gani? Kiusalama ids ni ngumu kuzitrace km visa
duh.!kuna watu mnakera.!kwanini usiende kwenye hizo nchi ambazo zina promote hayo maendleo na wewe uendlee.?
money stunna nmegundua kua wewe ni raia wa tz lakin sio mtz,kuna tofaut kubwa kati ya mtz na raia wa tz..
hamna haja ya kuungana na haya manyang'au!!!!!
kasome faida na malengo ya jumuiya za kiuchumi kama sadc,eac harafu urudi tena,maana si makosa yako
Nimefurahishwa sana na hii taarifa.
Siyo kweli kwamba Tanzania inakwamisha EAC. Soko la pamoja la EAC linatamka free movement of people, labor, capital, goods, services etc. Nadhani ni jukumu la kila nchi mwanachama wa jumuiya kuhakikisha kuwa wanajumiuya wanaweza kupata hizo free movement kwa uharaka na kwa usalama zaidi.
Kwa sasa Tz hatuwezi tumia ID badala ya passport kwani hizo IDs zenyewe hatuna. Tutakapokuwa na IDs nasi tutaweza kutumia badala ya passport.