Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

Kagame ni mtu hatari kwa majirani wake wote

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,931
Reaction score
7,828
Historia ya kagame inaonyesha tokea tangu mtoto kua mkimbizi nchini uganda. Kwa watu waliyomjua walipokuja tanzania na museveni baada ya kua mkimbizi tena tanzania alipokua anapata mafunzo ya kijeshi wanasema alikua mtu mwenye mtazamo wa siasa za kimbari zaidi.

Katika mafunzo kikundi chao chini ya museveni kilikua tofaoti na kile cha waganda wengine wenye asili ya kutoka sehemu zingine za uganda. Wao wenye asili ya mbari ya kihima watutsi na wanyankole wakiongozwa na museveni walijitenga na kikundi chao kupewa mafunzo semu tofauti na kile cha waganda wengine.

Museveni alijulikana akiwa chuo kikuu dar es salaam kama mwenye fikra za kijamaa. Sidhani kagame aliwahi kuupenda ujamaa au hata kuuelewa. Kiufupi ninavyohisi kwamba ameenda kwenye mapigano kwa sababu za tofauti za kimbari zilizomsababisha kua mkimbizi uganda.

Kwa hivyo Kagame ni mpiganaji aliyeenda Rwanda kupigania mbari yake. Alienda akiwa na kisasi cha mauaji ya watutsi hadi wakakimbia kua wakimbizi.. mwaka 1959. Ukisikiliza akiongea utajua ni mwenye itikadi kali ya kimbari. Wao watutsi wanaamini kwamba watutsi ni watawala. Ni wenye falme za kiasili. Wao ni watu bora na wenye akili kuliko wahutu wa mbari ya kibantu.

Tangu Kagame na kundi lake waingie madarakani wameweka utawala wa wachache rwanda na wamevamia kwa kushirikiana na wanyarwanda wa congo wa mbari ya kitutsi nchi hiyo mara kadha wakiwa na lengo la kuweka utawala wa mbari yao kinshasa. Katika azma yao kutawala congo mbari yao wameshika maeneo tajiri kwa madini katika majimbo ya kivu na wanaiba madini ya nchi hiyo na kuuza nje kupitia rwanda.
 
Historia ya kagame inaonyesha tokea tangu mtoto kua mkimbizi nchini uganda. Kwa watu waliyomjua walipokuja tanzania na museveni baada ya kua mkimbizi tena tanzania alipokua anapata mafunzo ya kijeshi wanasema alikua mtu mwenye mtazamo wa siasa za kimbari zaidi.

Katika mafunzo kikundi chao chini ya museveni kilikua tofaoti na kile cha waganda wengine wenye asili ya kutoka sehemu zingine za uganda. Wao wenye asili ya mbari ya kihima watutsi na wanyankole wakiongozwa na museveni walijitenga na kikundi chao kupewa mafunzo semu tofauti na kile cha waganda wengine.

Museveni alijulikana akiwa chuo kikuu dar es salaam kama mwenye fikra za kijamaa. Sidhani kagame aliwahi kuupenda ujamaa au hata kuuelewa. Kiufupi ninavyohisi kwamba ameenda kwenye mapigano kwa sababu za tofauti za kimbari zilizomsababisha kua mkimbizi uganda.

Kwa hivyo Kagame ni mpiganaji aliyeenda Rwanda kupigania mbari yake. Alienda akiwa na kisasi cha mauaji ya watutsi hadi wakakimbia kua wakimbizi.. mwaka 1959. Ukisikiliza akiongea utajua ni mwenye itikadi kali ya kimbari. Wao watutsi wanaamini kwamba wstitsi ni watawala. Ni wenye falme za kiasili. Wao ni watu bora na wenye akili kuliko wahutu wa mbari ya kibantu.

Tangu Kagame na kundi lake waingie madarakani wameweka utawala wa wachache rwanda na wamevamia kwa kushirikiana na wanyarwanda wa congo wa mbari ya kitutsi nchi mara kadha wakiwa na lengo la kuweka utawala wa mbari yao kinshasa. Katika azma yao kutaeala congo mbari yao wameshika maeneo tajiri kwa madini katika majimbo ya kivu na wanaiba madini ya nchi hiyo na kuuza nje kupitia rwanda.

..Ni uzembe tu serikali ya DRC, na majirani zake, ndio unasababisha Kagame atambe na kumwaga damu za wasio na hatia.
 
Mseme Kagame kwa lolote lile lakini kwangu namkubali sana kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake na pengine wa Afrika Mashariki yote.
Juzi juzi tu amesema ukiona mapinduzi ujue kuna tatizo kwenye hizo nchi.
Watu wanataka mabadiliko wapate haki zao za msingi.
 
..Ni uzembe tu serikali ya DRC, na majirani zake, ndio unasababisha Kagame atambe na kumwaga damu za wasio na hatia.
Siku Marekani na Wamagharibi wakimchoka ndio utakuwa mwisho wake.
 
Combo is failed state..acheni propaganda

Mbona huko kurudia urusi Ukraine kuna wapiganaji toka kila taifa
 
Mseme Kagame kwa lolote lile lakini kwangu namkubali sana kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake na pengine wa Afrika Mashariki yote.
Juzi juzi tu amesema ukiona mapinduzi ujue kuna tatizo kwenye hizo nchi.
Watu wanataka mabadiliko wapate haki zao za msingi.
Kagame ni condom ya mabeberu
 
Mseme Kagame kwa lolote lile lakini kwangu namkubali sana kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake na pengine wa Afrika Mashariki yote.
Juzi juzi tu amesema ukiona mapinduzi ujue kuna tatizo kwenye hizo nchi.
Watu wanataka mabadiliko wapate haki zao za msingi.
Huna akili
 
Ni uzembe kwa TWISS NA JW kushindwa kumiliki mgodi Congo kimabavu
 
Mseme Kagame kwa lolote lile lakini kwangu namkubali sana kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake na pengine wa Afrika Mashariki yote.
Juzi juzi tu amesema ukiona mapinduzi ujue kuna tatizo kwenye hizo nchi.
Watu wanataka mabadiliko wapate haki zao za msingi.
Mbona wapigania haki ndani ya nchi yake anawauwa?
 
Mbona wapigania haki ndani ya nchi yake anawauwa?
Hiyo ndiyo maana nilimkubali JPM. Hakuwa mtakatifu 100% au Nyerere.
Kama unaleta maendeleo na kuna vitu unafanya kwa manufaa ya wote kisha wachache wanakwamisha kwa sababu ya maslahi yao binafsi au tabia yao tu kukwamisha na kukosoa inabidi watulizwe.
Huo mtazamo wangu naweza kuwa nakosea.
 
Combo is failed state..acheni propaganda

Mbona huko kurudia urusi Ukraine kuna wapiganaji toka kila taifa

..failed state ni mashariki ya Congo, kwenye fitina za Kagame na Museveni. Majimbo mengine hayana machafuko.
 
Historia ya kagame inaonyesha tokea tangu mtoto kua mkimbizi nchini uganda. Kwa watu waliyomjua walipokuja tanzania na museveni baada ya kua mkimbizi tena tanzania alipokua anapata mafunzo ya kijeshi wanasema alikua mtu mwenye mtazamo wa siasa za kimbari zaidi.

Katika mafunzo kikundi chao chini ya museveni kilikua tofaoti na kile cha waganda wengine wenye asili ya kutoka sehemu zingine za uganda. Wao wenye asili ya mbari ya kihima watutsi na wanyankole wakiongozwa na museveni walijitenga na kikundi chao kupewa mafunzo semu tofauti na kile cha waganda wengine.

Museveni alijulikana akiwa chuo kikuu dar es salaam kama mwenye fikra za kijamaa. Sidhani kagame aliwahi kuupenda ujamaa au hata kuuelewa. Kiufupi ninavyohisi kwamba ameenda kwenye mapigano kwa sababu za tofauti za kimbari zilizomsababisha kua mkimbizi uganda.

Kwa hivyo Kagame ni mpiganaji aliyeenda Rwanda kupigania mbari yake. Alienda akiwa na kisasi cha mauaji ya watutsi hadi wakakimbia kua wakimbizi.. mwaka 1959. Ukisikiliza akiongea utajua ni mwenye itikadi kali ya kimbari. Wao watutsi wanaamini kwamba wstitsi ni watawala. Ni wenye falme za kiasili. Wao ni watu bora na wenye akili kuliko wahutu wa mbari ya kibantu.

Tangu Kagame na kundi lake waingie madarakani wameweka utawala wa wachache rwanda na wamevamia kwa kushirikiana na wanyarwanda wa congo wa mbari ya kitutsi nchi mara kadha wakiwa na lengo la kuweka utawala wa mbari yao kinshasa. Katika azma yao kutaeala congo mbari yao wameshika maeneo tajiri kwa madini katika majimbo ya kivu na wanaiba madini ya nchi hiyo na kuuza nje kupitia rwanda.
Ukimtoa Kagame, Hao watusi wakongo vita vyao dhidi ya gvt Ni vya Haki, shida inaanza wanapomtumia shetani Kagame kupata stahiki zao,

Watusi wa Kongo hawana tofauti Na wanyakyusa wa Malawi, wachaga wa Kenya au hata wameru wa Kenya, auu wakikuyu wa Kenya,
Sasa makabila yote haya yaambiwe kwenu Ni Tanzania Hamna Haki kama Raia wa nchi hizi, hapo wapambane Zaidi ya miaka Mia hivi, baadae sana ndio wafanye kujoin Na shetani Tanzania ili kupata Haki zao Kwa nchi husika
NB, nazungumza story kuanzia miaka 1800 kabla ya mipaka ya kikoloni,

Hivo sababu ya vita Kongo Ni mkutano wa Berlin,1884 huko, ,,

Utaifa , hapa mzungu anahusika Tena

Alafu ukabila, hapa ndio mwafrika anaingi, mana Ake tusingekuwa Na mipaka ya wazungu ,inawezekana ukabila ungeshasoviwa,

Na ubinafsi wa viongozi wa kiafrika
 
Back
Top Bottom