Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Hii inaitwa mwana kulitaka, mwana kulipewaWamemkimbia Nairobi lkn huku Hakuna namna
Hii inaitwa mwana kulitaka, mwana kulipewaWamemkimbia Nairobi lkn huku Hakuna namna
Hahahahaaaaa mkuu una utani!!!wapo njiani bado ama?wametoka juzi Nairobi nasikia hawajafika Dar
Kwenye kuujaza uwanja ndio sahihimashabiki wa Simba tutaujaza uwanja wote kwani hawa jamaa waoga hawatakuja uwanjani kushuhudia kipigo.Wamesajiri kijeba ngasa toka ndanda halufu ya goli tano naioona kwa mbali.hii itakuwa zawadi kwa kagame na timu zote za ukanda huu!!!!Asante KAGAME kwa fursa hii mwaka huu.MUNGU akupe nini? mpaka jengo lenu mtalibomoa mwaka huu kwa hasira
Hii inaitwa mwana kulitaka, mwana kulipewa
Labda ijenge kiwanja pale bwawani?Yanga isishiriki michuano hiyo, ijijenge kwanza
wapo njiani mkuuHahahahaaaaa mkuu una utani!!!wapo njiani bado ama?
Ahhh itakuwa tushafanya mkutano tarehe 10 na tusharekebisha mambo
ndio uchwi wenu wa kununua baadhi ya wanachama wa Yanga wafanye vurugu mkitumia yule jamaa sio tushayabaini yote subirini tuHuo mkutano mtapigana makonde ya kufa mtu believe me!
Kwa njaa ilivyo pale mitaa yenu hata ukimhonga mtu wenu wali wa buku tuu ataleta fujo ya milioni 100!ndio uchwi wenu wa kununua baadhi ya wanachama wa Yanga wafanye vurugu mkitumia yule jamaa sio tushayabaini yote subirini tu