Kagame Cup:Simba, Yanga kundi moja!Yanga hakuna kukimbia

mashabiki wa Simba tutaujaza uwanja wote kwani hawa jamaa waoga hawatakuja uwanjani kushuhudia kipigo.Wamesajiri kijeba ngasa toka ndanda halufu ya goli tano naioona kwa mbali.hii itakuwa zawadi kwa kagame na timu zote za ukanda huu!!!!Asante KAGAME kwa fursa hii mwaka huu.MUNGU akupe nini? mpaka jengo lenu mtalibomoa mwaka huu kwa hasira
Kwenye kuujaza uwanja ndio sahihi
Yanga hawatatia mguu
 
Ila mpira ni matokeo wakuu
Kuna aliyetarajia km Simba wangefikia Matuta na kucheza kwa kiwango like!!!??
 
Mechi ya Simba na Yanga inabaki kuwa ngumu hata mmojawapo awe na hali mbaya kiasi gani
 
Screenshot_2018-06-05-14-46-11~2.png


Habari ndiyo hiyo. Mtakimbilia wapi hadi nawaonea huruma
 
ndio uchwi wenu wa kununua baadhi ya wanachama wa Yanga wafanye vurugu mkitumia yule jamaa sio tushayabaini yote subirini tu
Kwa njaa ilivyo pale mitaa yenu hata ukimhonga mtu wenu wali wa buku tuu ataleta fujo ya milioni 100!
 
UJINGA ni nipale unapomkimbia SIMBA
sportpesa afu unakutana nae CECAFA patamu
hapo...
 
Mashindano haya yatawajenga upya yanga.
Mpira sio simple kama mnavyofikiri... Hongera CECAFA kwa mashindano haya ili hata sisi Simba tuone usajili wetu.

[HASHTAG]#NGUVU1[/HASHTAG]
 
nahisi tff wanafanya hujuma,wanatafuta namna yanga apigwe tano lakini mungu ni mwema.

wametukosa ligi
wametukosa spotipesa
na hawatatupata kagame
 
Back
Top Bottom