matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,958
Rais Paul Kagame wa Rwanda
ameonya kwamba atakayethubutu
kulisaliti taifa hilo atakiona cha
moto.
Rais Kagame alikuwa akielezea hisia
zake wakati wa sala za kuombea
taifa hilo kwa awamu ya kumi na
nne.
Hayo yamejiri siku chache baada ya
kuuawa katika mazingira ya
kutatanisha kwa aliyekuwa kiongozi
wa ujasusi nchini humo Patrick
Karegeya katika hoteli moja nchini
Afrika Kusini.
Source: BBC
ameonya kwamba atakayethubutu
kulisaliti taifa hilo atakiona cha
moto.
Rais Kagame alikuwa akielezea hisia
zake wakati wa sala za kuombea
taifa hilo kwa awamu ya kumi na
nne.
Hayo yamejiri siku chache baada ya
kuuawa katika mazingira ya
kutatanisha kwa aliyekuwa kiongozi
wa ujasusi nchini humo Patrick
Karegeya katika hoteli moja nchini
Afrika Kusini.
Source: BBC