East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Kagame akiongelea kuhusu kipindi chake cha tatu na cha nkurunzinza msikilize
Last edited by a moderator:
He says that it's up to Rwandans to decide whether he should take another term or not.is he suggesting if you deliver then you can stay????? ooooh God not again from this part of the world!! respecting constituition has nothing to do with delivering this guy should know...... or does he say there is no one else in rwanda to be the president apart from him???
Kwa hiyo mtu akideliver akae kwenye uraisi maisha yake yote,huyu KAGAME VIPI?is he suggesting if you deliver then you can stay????? ooooh God not again from this part of the world!! respecting constituition has nothing to do with delivering this guy should know...... or does he say there is no one else in rwanda to be the president apart from him???
Je wangemiminika kusema no wangesikilizwa?.Najua mara moja wangeitwa genocide sympathizers etc na kuchinjiliwa mbali kama karegeya.Hawa watu wanaoingia kwa mtutu kutoka pia njia ni kwa njia hiyohiyo.I can see the logic of fdlr now.No option available.