Kafulila: Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambuka. Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili wakati Mapato ya Utalii yameongezeka mara tatu zaidi

Financial Intelligence

Senior Member
Sep 29, 2023
160
363


Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa.

Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira.

Mtaala mpya chini ya Rais Samia utakabili changamoto hii ya mismatch kati ya mahitaji ya soko na wasomi tunaotengeneza"

Alisema David Kafulila, Mkurugenzi kituo cha UBIA( PPP) nchini katika kipindi cha DK 45 ITV,

Kafulila aliongeza kwa kusema kasi ya kuvuta mitaji ya sekta binafsi inapunguza tatizo la ajira.

Kwamba kati ya Mwaka 2021 na 2023, Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili kutoka takribani watalii 900,000..mpaka watalii 1,800,000.

Mapato ya utalii yameongezeka karibu mara tatu zaidi kutoka dola 1.3bn mpaka dola 3.3bn.

Hii inathibitisha sio tu ongezeko chanya la watalii bali pia ubora wa watalii wanaingia nchini.

Ndio maana idadi imeongezeka mara mbili wakati mapato yameongezeka karibu mara tatu zaidi.

Nikweli changamoto ya ajira ni kubwa lakini nikweli pia Serikali inafungua uchumi kupunguza makali.

Takwimu leo zinaonesha kwamba idadi ya mobile bank accounts zimeongezeka kutoka 32m mwaka 2021 mpaka 52m mwaka 2023.

Watu wanaweza kubishana kuhusu ongezeko hili lakini kusema kwamba namba hizi hazimaanishi juhudi yoyote ya Serikali ya Samia Suluhu Hasssan ni uonevu, sio haki.

Namba hizi zinaonesha kuna kazi imefanyika kuongeza shughuli za watu na hivyo mzunguko wa pesa umeongezeka na ajira zimeongezeka."

Amesema David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP.​
 
View attachment 2998752

Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa.

Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira.

Mtaala mpya chini ya Rais Samia utakabili changamoto hii ya mismatch kati ya mahitaji ya soko na wasomi tunaotengeneza"

Alisema David Kafulila, Mkurugenzi kituo cha UBIA( PPP) nchini katika kipindi cha DK 45 ITV,

Kafulila aliongeza kwa kusema kasi ya kuvuta mitaji ya sekta binafsi inapunguza tatizo la ajira.

Kwamba kati ya Mwaka 2021 na 2023, Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili kutoka takribani watalii 900,000..mpaka watalii 1,800,000.

Mapato ya utalii yameongezeka karibu mara tatu zaidi kutoka dola 1.3bn mpaka dola 3.3bn.

Hii inathibitisha sio tu ongezeko chanya la watalii bali pia ubora wa watalii wanaingia nchini.

Ndio maana idadi imeongezeka mara mbili wakati mapato yameongezeka karibu mara tatu zaidi.

Nikweli changamoto ya ajira ni kubwa lakini nikweli pia Serikali inafungua uchumi kupunguza makali.

Takwimu leo zinaonesha kwamba idadi ya mobile bank accounts zimeongezeka kutoka 32m mwaka 2021 mpaka 52m mwaka 2023.

Watu wanaweza kubishana kuhusu ongezeko hili lakini kusema kwamba namba hizi hazimaanishi juhudi yoyote ya Serikali ya Samia Suluhu Hasssan ni uonevu, sio haki.

Namba hizi zinaonesha kuna kazi imefanyika kuongeza shughuli za watu na hivyo mzunguko wa pesa umeongezeka na ajira zimeongezeka."

Amesema David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP.​
Jamaa anauwezo mzuri sana wa kimaadili na kujenga hoja.
 
Hizi statistics za uongo Kabisa, yani watu ni waongo wa kutupa, Utalii mara 3? 6 years back, tafuta rooms Ngorongoro au Serengeti uone Kama utapata, sasa hivi unabook leo unalala kesho, na sio kwamba Hotel zimeongezeka, geography ya Ngorongoro ngumu sana kuongezeka idadi za Hotel kihivyo.
 
Hizi statistics za uongo Kabisa, yani watu ni waongo wa kutupa, Utalii mara 3? 6 years back, tafuta rooms Ngorongoro au Serengeti uone Kama utapata, sasa hivi unabook leo unalala kesho, na sio kwamba Hotel zimeongezeka, geography ya Ngorongoro ngumu sana kuongezeka idadi za Hotel kihivyo.
Mimi Niko hapa hapa Arusha kila dk 5 ndege inatua KIA,
 
View attachment 2998752

Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa.

Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira.

Mtaala mpya chini ya Rais Samia utakabili changamoto hii ya mismatch kati ya mahitaji ya soko na wasomi tunaotengeneza"

Alisema David Kafulila, Mkurugenzi kituo cha UBIA( PPP) nchini katika kipindi cha DK 45 ITV,

Kafulila aliongeza kwa kusema kasi ya kuvuta mitaji ya sekta binafsi inapunguza tatizo la ajira.

Kwamba kati ya Mwaka 2021 na 2023, Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili kutoka takribani watalii 900,000..mpaka watalii 1,800,000.

Mapato ya utalii yameongezeka karibu mara tatu zaidi kutoka dola 1.3bn mpaka dola 3.3bn.

Hii inathibitisha sio tu ongezeko chanya la watalii bali pia ubora wa watalii wanaingia nchini.

Ndio maana idadi imeongezeka mara mbili wakati mapato yameongezeka karibu mara tatu zaidi.

Nikweli changamoto ya ajira ni kubwa lakini nikweli pia Serikali inafungua uchumi kupunguza makali.

Takwimu leo zinaonesha kwamba idadi ya mobile bank accounts zimeongezeka kutoka 32m mwaka 2021 mpaka 52m mwaka 2023.

Watu wanaweza kubishana kuhusu ongezeko hili lakini kusema kwamba namba hizi hazimaanishi juhudi yoyote ya Serikali ya Samia Suluhu Hasssan ni uonevu, sio haki.

Namba hizi zinaonesha kuna kazi imefanyika kuongeza shughuli za watu na hivyo mzunguko wa pesa umeongezeka na ajira zimeongezeka."

Amesema David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP.​
Jamaa baada ya kuachwa naona nyota inawaka tena kwa nguvu sana
 
View attachment 2998752

Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa.

Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira.

Mtaala mpya chini ya Rais Samia utakabili changamoto hii ya mismatch kati ya mahitaji ya soko na wasomi tunaotengeneza"

Alisema David Kafulila, Mkurugenzi kituo cha UBIA( PPP) nchini katika kipindi cha DK 45 ITV,

Kafulila aliongeza kwa kusema kasi ya kuvuta mitaji ya sekta binafsi inapunguza tatizo la ajira.

Kwamba kati ya Mwaka 2021 na 2023, Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili kutoka takribani watalii 900,000..mpaka watalii 1,800,000.

Mapato ya utalii yameongezeka karibu mara tatu zaidi kutoka dola 1.3bn mpaka dola 3.3bn.

Hii inathibitisha sio tu ongezeko chanya la watalii bali pia ubora wa watalii wanaingia nchini.

Ndio maana idadi imeongezeka mara mbili wakati mapato yameongezeka karibu mara tatu zaidi.

Nikweli changamoto ya ajira ni kubwa lakini nikweli pia Serikali inafungua uchumi kupunguza makali.

Takwimu leo zinaonesha kwamba idadi ya mobile bank accounts zimeongezeka kutoka 32m mwaka 2021 mpaka 52m mwaka 2023.

Watu wanaweza kubishana kuhusu ongezeko hili lakini kusema kwamba namba hizi hazimaanishi juhudi yoyote ya Serikali ya Samia Suluhu Hasssan ni uonevu, sio haki.

Namba hizi zinaonesha kuna kazi imefanyika kuongeza shughuli za watu na hivyo mzunguko wa pesa umeongezeka na ajira zimeongezeka."

Amesema David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP.​
Mtetezi pekee wa Samia aliyebaki kwenye media
 
View attachment 2998752

Kafulila anasema " Tatizo la ajira ni halisi lakini ni mtambukwa.

Kuna wakati sekta binafsi ilikuwa inatafuta watu wenye sifa fulani inakosa wakati sokoni kuna wasomi bila ajira.

Mtaala mpya chini ya Rais Samia utakabili changamoto hii ya mismatch kati ya mahitaji ya soko na wasomi tunaotengeneza"

Alisema David Kafulila, Mkurugenzi kituo cha UBIA( PPP) nchini katika kipindi cha DK 45 ITV,

Kafulila aliongeza kwa kusema kasi ya kuvuta mitaji ya sekta binafsi inapunguza tatizo la ajira.

Kwamba kati ya Mwaka 2021 na 2023, Idadi ya watalii imeongezeka mara mbili kutoka takribani watalii 900,000..mpaka watalii 1,800,000.

Mapato ya utalii yameongezeka karibu mara tatu zaidi kutoka dola 1.3bn mpaka dola 3.3bn.

Hii inathibitisha sio tu ongezeko chanya la watalii bali pia ubora wa watalii wanaingia nchini.

Ndio maana idadi imeongezeka mara mbili wakati mapato yameongezeka karibu mara tatu zaidi.

Nikweli changamoto ya ajira ni kubwa lakini nikweli pia Serikali inafungua uchumi kupunguza makali.

Takwimu leo zinaonesha kwamba idadi ya mobile bank accounts zimeongezeka kutoka 32m mwaka 2021 mpaka 52m mwaka 2023.

Watu wanaweza kubishana kuhusu ongezeko hili lakini kusema kwamba namba hizi hazimaanishi juhudi yoyote ya Serikali ya Samia Suluhu Hasssan ni uonevu, sio haki.

Namba hizi zinaonesha kuna kazi imefanyika kuongeza shughuli za watu na hivyo mzunguko wa pesa umeongezeka na ajira zimeongezeka."

Amesema David Zacharia Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP.​
Ogopa sana tapeli mwenye confidence yakusema uongo growth ambayo hai reflect kwenye maisha ndio we are increasing at decreasing rate,purchasing power parity yetu inashuka kila kukicha hatuna price stability katika bidhaa muhimu sarafu yetu ina deteriote dhidi ya dola swala ajira anasema ni mtambuka ile hali kila mwaka tunatengeneza unemployment kwa vijana wetu nakutoa nafasi kwa wachache kama yeye hapo kwa devide and rule wafanye kazi kwa waledi maeneo ambayo yanahitaji maboresho yafanyike kitaalamu tuache kumarinate uchumi wakati ukifika tutaumbuka vibaya tumeona kwa mwenda zake same story ameondoka wanaleta story tulikua na hali mbaya ndio tunafanya reform wakati alipokuwepo walituaminisha kama tupo kwe boom economy session stupid kabisa hadaa kwa maneno matamu.
 
Mheshimiwa David Kafulila Ni hazina kubwa sana kwa Taifa letu. Huyu Mheshimiwa ana maono makubwa sana,akili kubwa sana,upeo mkubwa sana ,maarifa mengi sana na uelewa wa masuala mbalimbali ya kiuchumi na mambo mbalimbali Mtambuka.

Anastahili kurejea bungeni kwa mara nyingine tena na hatimaye ndani ya baraza la mawaziri ili kutoa mchango wake kwa Taifa letu.
 
Back
Top Bottom