Ni misemo yenu ktk lugha ya Kiswahili inayoleta hisia kuwa "umoja ni nguvu". Kwa mfano mlipoungana na Z'bar na kiua Tanganyika....ni nguvu zipi mmepata ambazo hapo kwanza hamkuwa nazo?
Je Tz ya leo ni faida gani inazo kulinganisha na Tanganyika..... au Z'bar in that matter. Ni nguvu ipi mnazo leo?
Mbunge anayeshambulia chama pinzani wakati na yeye ni mpinzani na kushangiliwa na CCM hawezi kujiita mpinzani nikamuelewa.. Maneno ya Kafulila yanaonyesha bado ana chuki kutimuliwa CHADEMA. Badala ya kupingana na ccm/serikali ili kuifanya iwe makini anakazana kupingana na chadema halafu anafurahia kushangiliwa na wabunge wa chama tawala.... shame on him.:twitch:
Mimi sijawai kuwa na imani na mwanasiasa ila nataka niwambie huyo kafulila namfahamu kabla ata hajawa na ndoto za siasa ni mtu ambaye anautaifa kweli labda wamwaribu sasa,kama mwanadamu anaweza kupotoka ila dhamira yake ni ya utaifa,tusinvunje moyo mapema,kafulila big up ni zaidi ya hata hao tunao wasikiaga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.