kafulila kwa kweli wakati unachangia na kulazimisha ndoa kati ya watu ambao awajapendana nilikushanga sana bwana mdogo na sikukutegemea kama unaweza kufikia hatua ile na pia mara ya kwanza nilipokuona ukihutubia pale tegeta na kuwaponda ndugu zako caf na ccm nilisema chama cha nccr mageuzi kimepata mtu ambaye anaweza kukibadilisha na kikawa na mvuto kwa watu tena lakini kwa kile ulichikichangia jana bungeni na kuunga mkono ubadilishaji wa kanuni kwa kweli niliondoa imani yangu kwako na nikasema kama ndiyo njia unayotumia pia kuimalisha chana chako na kujipatia wanachama wapya basi ulikuwa umechemka na tayari umeshaondoa uwepo wako kwa wananchi na auna mvuto tena wa kisiasa.