Kafulila: Bunge limeongeza ufanisi wa serikali

Kafulila: Bunge limeongeza ufanisi wa serikali

Huyo ngedere akipigwa fimbo vizuri atasema tuu hizo bangi hua ana uziwa na nani na hua anavutia wapi
 
Na wewe mpinge kwa Data. Dunia ya Leo ni Data tu za kiutafiti na kisayansi na siyo kupiga porojo zako hapa. Mheshimiwa Kafulila anaonyesha usomi wake na kuongea kisomi kabisa na kwa lugha nyepesi kabisa ambayo hata asiye na Elimu kama wewe anaweza kumuelewa kabisa
Mkuu rudisha akili zako.

Upo kama Zombi au mzimu hivi
 
Na wewe mpinge kwa Data. Dunia ya Leo ni Data tu za kiutafiti na kisayansi na siyo kupiga porojo zako hapa. Mheshimiwa Kafulila anaonyesha usomi wake na kuongea kisomi kabisa na kwa lugha nyepesi kabisa ambayo hata asiye na Elimu kama wewe anaweza kumuelewa kabisa
Ni rahisi kutaja lakini zinatolewa hizo pesa? Zinawafikia walengwa?? Vipi takwimu za rushwa, zinashuka au zinapaa? Tusiwe wepesi wa kusifia bajeti tukasahau na usimamizi wake.
 
Waha sio wa kuwaamini hata kidogo, tumbili sasahivi ye ni mwendo wa kusifia tu na kutuletea data zisizo na uhalisia wa maisha ya watu wa chini kama huku vijijini na hata mjini
 
Back
Top Bottom