Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,450
- 5,279
Kamishna wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi, Davidi Kafulila, ametoa tathmini yake ya Bunge la 12 kuwa lenye mafanikio makubwa kwa kuisimamia Serikali ya Awamu ya Sita kuwa na mafanikio kuliko awamu zilizopita.
Kafulila amesema kuwa moja ya mikakati ya kupunguza umasikini nchini ni kupitia sekta ya kilimo, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Rais Samia Suluhu Hassan imeongeza ukuaji wa sekta ya kilimo kwa muda mfupi.
"Serikali ya Awamu ya Sita, ndani ya miaka minne, imekuta kilimo kinakua kwa asilimia 2.6, kwa sasa kinakua kwa asilimia 4.2. Hii haijafika asilimia kumi lakini ni shift kubwa sana," amesema Kafulila.
Kafulila amesema kuwa moja ya mikakati ya kupunguza umasikini nchini ni kupitia sekta ya kilimo, ambapo Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Rais Samia Suluhu Hassan imeongeza ukuaji wa sekta ya kilimo kwa muda mfupi.
"Serikali ya Awamu ya Sita, ndani ya miaka minne, imekuta kilimo kinakua kwa asilimia 2.6, kwa sasa kinakua kwa asilimia 4.2. Hii haijafika asilimia kumi lakini ni shift kubwa sana," amesema Kafulila.