KAFULILA AISAMBARATISHA ACT KIGOMA.
Katika mkutano wa jana Kigoma mjini , aliyekuwa mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila alisisitiza kwamba watu wa Kigoma tusidanganywe na mwanasiasa yeyote kwamba kuna chama cha watu wa Kigoma.
Wala kigoma hatuna uhaba wa vyama. Kama kuna chama kinajiita cha watu wa Kigoma afadhali kijibadilishe kutoka chama cha siasa kiwe chama cha michikichi na mawese.
Ni aibu dunia nzima inajua UKAWA ndio tumaini la watanzania dhidi ya utawala mbovu wa ccm halafu kigoma tujazane ujinga wa vyama ambavyo ni matawi ya ccm.
Wanaeneza uzalendo kwa hisani ya ccm
nakugea masaa mawili usipoondoa naweke ile video crip inayotembea kule tweeter tshuhudie alivyozoemewa na wanainchi wa kigoma