Kafanana na "WAPIGWE!"

Ngoja nisubili wanaomjua watujuze
 
Atakuwa ni mdogo wake tu...
 

ama kweli leo nimeamini kuwa "duniani wawili wawili" kweli huyu bwana ni kama "wapigwe part 2.| kwani "anasawili na mtoto wa mkulima".
namshauli atafute nafasi ya kupiga picha moja ya ukumbusho na pinda au ofisini au nyumbani kwakwe apige picha yake na aibandike ukutani kam inavyokuwaga kwa picha za viongozi wakuu.
 

Attachments

  • 7.png
    116.5 KB · Views: 173
  • images.jpg
    10.6 KB · Views: 163
Huyo anaitwa .. " Liwalo na Liwe " ..

Mkuu mbona unataka kuniingiza chaka? Huyo sio Liwalo na Liwe Bwana ila maefanana naye. Sasa nataka kujua jina la huyo pacha wa Liwalo na Liwe anaitwaje?

Tiba
 
Huyu jamaa kama sijakosea nilimuona kwenye mazishi ya Dr. Moses Kulola.
 
haiwezekani binadamu akawa hivi! Tumechoka sasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…