Kama kuna wana-JF ameshapata taarifa kuhusu kuajiliwa kwa kaduguda na Kisasa naomba anijulishe maana nilisikia kuna kamati zina kaa kuangalia kama Kadu na Kisasa wawe Makatibu wa kuajiliwa....!?
Hizi siasa za Simaba na Yanga fitna tupu. Hayo ya kuajiriwa yatabakia kwenye mazungumzo tu lakini ikifikia utekelezaji hutaona hawa jamaa wakibakia pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.