Kadri unavyochelewa kuoa hili jambo linazidi kutokea kwako

Kuna hekima flani kuoa mapema lakini early 20s, mpaka unafika 30s hamna jipya na kama umebarikiwa watoto ni raha sana kukua na wanao! Naunga mkono Chizi

Familia inatakiwa imuandae kijana kimajukumu akifika 18 ajitafute kwa namna yoyote sometimes malezi mabovu unakuta 28 bado uko nyumban tu kula na choo bure na Afcon unaangalizia kwenye flat ya mzee, hawez kua na wazo la kuoa huyu
 
Mmh ila siyo wote ambao hawajaolewa basi ni wahuni, kuna wanaojiheshimu bana , ila pia mnachakaza wenyewe mbususu za watoto wa watu then mnakuja kupondea as if siyo nyie.

Usichakaze mbususu ya mdada usiye na malengo naye, ukifanya hivo dunia itakua salama, je mtaweza hilo?
 
Nawaambia vijana. Unavyozidi kuchelewa kuoa ndo huyo atakayekuwa mkeo anazidi kuchakazwa. Watu watamtumia weeeeeeeh... Ukija sema. Sasa naoa.

Amekwisha. Wamemgeuza geuza... Milango yote ipo wazi wadau ndo wanakuachia umalizie ngwe. Jioleee mapema utulie na mkeo angalau kupunguza wachakazi kuwa wengi.
Kuona mwanaume aie bikra ni uchizi kama ulivyo wewe
 
Mmh ila siyo wote ambao hawajaolewa basi ni wahuni, kuna wanaojiheshimu bana , ila pia mnachakaza wenyewe mbususu za watoto wa watu then mnakuja kupondea as if siyo nyie.

Usichakaze mbususu ya mdada usiye na malengo naye, ukifanya hivo dunia itakua salama, je mtaweza hilo?
Kauli mbiu ni moja ukiipaata ichakaze mbususu maaana hujui utaangukia wap
 
Mwanamke akiishatolewa bikra kabla ya ndoa huyo ni MALAYA! msianze kujitetea nyinyi wanawake wenye bikra ya masikio tu
Umekariri, siyo kila mwanamke ni wa hivyo.

Ingekuwa watu Wana akili kama zako wanawake wenye watoto wasingeolewa.

Umalaya ni hulka ya mtu, kuna wake za watu wanapigwa mjengo hovyo kuliko singles, kuna wanawake wengi tu wanajitunza na wanathamini miili yao.
 
nenda kijijini tafuta aliyefeli standard 7 au aliyefeli darasa la 4 na hakuendelea na shule tena.
Huyo aliyefeli hafahi kuolewa! Hata ukimwangalia kila idara atakuwa kapwaya! Kama unataka kuoa vizia waliofeli kidato cha nne! Hata huyo form four failure hafai! Tafuta hela oa wanaojitambua kuanzia form six na kuendelea
 
Huyo aliyefeli hafahi kuolewa! Hata ukimwangalia kila idara atakuwa kapwaya! Kama unataka kuoa vizia waliofeli kidato cha nne! Hata huyo form four failure hafai! Tafuta hela oa wanaojitambua kuanzia form six na kuendelea
mzee hao wa form six nitapata bikra?
 
Mmh ila siyo wote ambao hawajaolewa basi ni wahuni, kuna wanaojiheshimu bana , ila pia mnachakaza wenyewe mbususu za watoto wa watu then mnakuja kupondea as if siyo nyie.

Usichakaze mbususu ya mdada usiye na malengo naye, ukifanya hivo dunia itakua salama, je mtaweza hilo?
Tatizo utaweza kutulia mpaka hapo utakapo kua tayari bila kuchakatana?.

Tuendelee kuomba Mungu na tuwe na kiasi.
 
Dume zima unaoaje mwanamke 22+?

Kwangu haitawezekana kamwe labda awe mchepuko.
 
Back
Top Bottom