Man Rody
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,273
- 2,939
Kuna hekima flani kuoa mapema lakini early 20s, mpaka unafika 30s hamna jipya na kama umebarikiwa watoto ni raha sana kukua na wanao! Naunga mkono Chizi
Familia inatakiwa imuandae kijana kimajukumu akifika 18 ajitafute kwa namna yoyote sometimes malezi mabovu unakuta 28 bado uko nyumban tu kula na choo bure na Afcon unaangalizia kwenye flat ya mzee, hawez kua na wazo la kuoa huyu
Familia inatakiwa imuandae kijana kimajukumu akifika 18 ajitafute kwa namna yoyote sometimes malezi mabovu unakuta 28 bado uko nyumban tu kula na choo bure na Afcon unaangalizia kwenye flat ya mzee, hawez kua na wazo la kuoa huyu