Mchezo namba 165 Fakhi hakupata kadi. Kwa waliofuatilia mechii wataniunga mkonoRejea mechi ya simba na kagera stars simba kupokwa point 3 kwa kumchezesha musa hassan mgosi na ubingwa kwenda yanga kwa tofauti ya point mojaa
Hata hivyo hakuna sheria ya kupokonywa pointi zaidi ya faini tu hapo kwa timu husika..
Mbona Serengeti boys , mlifurahia kwavkuiondoa CongoYaani mnataka ushindi wa mezani hahahaha inamana simba mmefikia hatua hiyo wapi mavugo wapi kichuyaaaa
Una uhakika gani kama nilifurahia?Mbona Serengeti boys , mlifurahia kwavkuiondoa Congo
Wamefika salama morocoVipi Seringeti boys
Naomba uthibitishe kama nilifurahiMbona Serengeti boys , mlifurahia kwavkuiondoa Congo
Duuh mkuu huu ukweli Mchungu sana. Utaliua jamaa linalopinga.Hata Serengeti wanatua Gabon kwa maamuzi ya mezani. Haitaki hasira kikubwa taratibu za mchezo zizingatiwe.
hiyo ni Avatar YAKO?Wataaibika hawa mikia katika kadi hizo tatu moja ni ya mchezo wa kombe la FA haingiliani na VPL sasa tafuteni sababu nyingine, nyie kushiriki kimataifa mpaka sisi tuamue nyambafu wamatopeni