Kadhi mkuu amkana Ponda

Sasa kila MTU anamkana SHEIKH PONDA? Mnadhani atabakia JELA MILELE? SUBIRINI atoke na Mnaomkana kila MTU mtakiona cha MOTO...
Cha moto kipi mkuu,kama huo ugaidi wetu tutapambana nao kwa nguvu zetu zote bila kuchoka mbaka tona la mwisho la damu!
 

Mkuu lengu kuu ilikuwa ni kujenga Chuo kikuu,lakini uwezi kujenga chuo kikuu ndani ya heka 4,nadhani balaza la maulamaa ni makini sana ndiyo maana likaona ni vema chuo kikuu kijengwe kisarawe ambapo kuna heka 40!!
 
Hapa lazima mtu asomewe Albadri, shida tu sijajua atasomewa nani? sijui Bakwata au Polisi au hata DPP, ngoja tusubiri!
 
Kwani kuna mtu alitegemea Kadhi atamuunga mkono Ponda? Kadhi anachaguliwa na nani?
 
uko Kenya, Tanzania inakaribisha wawekezaji unaleta fujo utaeleweka, Ponda anaitambua BAKWATA ? mpaka aongoze uvamizi. hata mimi na mashaka na hilo lkn mimi ni wa dini nyingine, Mchungaji Mwingira auze maeneo ya kanisa lake mimi mkatoliki niongoze mapambano ya kupinga ,hakika jela inaninukia.kwanza wakubali Bakwata ni chombo kinachowasimamia waislam wote Tanzania kisha mengine yafuate yakiwemo Bakwata kuhoji taasisi wanazoziendesha.
 

ni sawa mkuu,lakini ukumbuke kuwa wakristu hawana chombo kinacho simamia madhehebu yote ndio mana hakuna kuingiliana,sasa bakwata ya nini nawakati madhehebu ya waislam ni mengi?hicho chombo kisimamie upande mmoja sio wote ni kuwanyima haki wengine.
 
sasa kila mtu anamkana sheikh ponda? Mnadhani atabakia jela milele? Subirini atoke na mnaomkana kila mtu mtakiona cha moto...
atamwagia mtu tindikali aithee! Atakapotoka inabidi watu tuwe makini sana!
 
ni sawa mkuu,lakini ukumbuke kuwa wakristu hawana chombo kinacho simamia madhehebu yote ndio mana hakuna kuingiliana,sasa bakwata ya nini nawakati madhehebu ya waislam ni mengi?hicho chombo kisimamie upande mmoja sio wote ni kuwanyima haki wengine.
mkuu wakikatae chombo hicho na mambo yake yote. siyo hawakitambui mali ilizonazo wanazitambua, hivi CCm wakiamua kuuza uwanja wa kirumba mwanza CHADEMA wawaletee fujo ni haki kweli, kwa wakristo kuna BARAZA LA MAASKOFU TANZANIA linahusisha maaskofu wa madhehebu yote yale makubwa, HALAFU kuna mabaraza ya maaskofu wa madhehebu yenyewe tu, mf maaskofu katoliki tanzania. sasa maamuzi ya baraza la maaskofu katoliki Tanzania , muumini au baraza la madhehebu mengine mf KKKT HAWAWEZI kuingilia maamuzi hayo. ndo maana baadhi ya waumini wamejitoa ktk madhehebu hayo, kwa sababu mbalimbali zikiwemo imani na maslahi na kujiunga na ULOKOLE lkn hawageuki nyuma kudai walikotoka maamuzi yanapopitishwa, MAKOSA ya BAKWATA hata mimi nayaona lkn hayanihusu maana hata kama wangeitisha michango toka kwa waislam wenzao ,wasingeshindwa kupata eneo kubwa na bado chang'ombe lingebaki kuwa mali yao kwa matumizi mengine au kuna ubaya gani? kama eneo hilo lingeuzwa kwa mnada[ japo sihafiki kuuza maeneo ya umma]
 
kani ponda kachaguliwa na nani na kiongozi wa kiislam anatakiwa achaguliwe na nani?

Mi simtambui Ponda, natambua legitimate leaders. Hivyo sijui aliemchagua na wala sio interest yangu kujua aliemchagua. BAKWATA wanasema ni kikundi cha kihuni, sasa najiweka mbli na vikundi vya kihuni.
 
Mimi ndipo wanaponifurahisha CCM. TEC inawacha iwatumikie wakiristo. BAKWATA inawataka iwahujumu waislam. BAKWATA inawakilisha waislam wote wa tz huku serekali ikisema haina dini. Sijui hapa ccm inataka itwambie nini waislam
 
Mwalimu Nyerere alipounda BAKWATA hakuwa mjinga. aliamini hili dudu litawatafuna Milele waislam.
 
Issue hapa sio uislam issue ni ponda kwani hata viongozi wa waislam aliWatishia maisha
 
Issue hapa sio uislam issue ni ponda kwani hata viongozi wa waislam aliWatishia maisha
MWALIMU NYERERE ALIPOIVUNJA EAMWS na kuwaundia BAKWATA usidhani hakujua anachofanya. hapa ilikuwa ni sawa na CCM kuwavuruga wapinazani ili ccm iwe na nguvu. Kuundwa kwa bakwata ni kuupa nguvu ukiristo hapa nchini
 
mwandishi mwenyewe kwanza muongo....hata hakimu anayesikiliza kesi siye aliyetajwa hapo lakini pia hizo tarehe sijui kazitoa wapi...tuna tatizo sana na waandishi hawako makini na issue za mahakamani
 
Mkuu lengu kuu ilikuwa ni kujenga Chuo kikuu,lakini uwezi kujenga chuo kikuu ndani ya heka 4,nadhani balaza la maulamaa ni makini sana ndiyo maana likaona ni vema chuo kikuu kijengwe kisarawe ambapo kuna heka 40!!
sawa mkuu ekari 40 ya kisarawe ni kubwa lakini huwezi toa ekari 4 ya chang'ombe yenye thamani zaid ya 400m..bakwata ni taasisi kubwa haiwezi kosa hela ya kununua hizo ekari 400 za kisarawe ambazo thaman yake haizid hata 50m..haiitaj hta diploma kujua kitu kama hcho
 
kwa hiyo unazarau uamuzi wa baraza la maulamaa ambao ni wawakilishi halali wa waislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…